KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Rafiki yangu ameniomba nimpe ushauri kuhusu hizi simu mbili za Samsung.
Binafsi natumia simu ndogo tu ya Samsung A11. Sijawahi kuvuka hapo hivyo sina uzoefu na hizi mnazoita Flagship.
Sasa wataalam wa gadgets hapa naomba ushauri wenu. Japo kichwa cha habari nimeweka vitu viwili lakini napenda nishauriwe zaidi kuhusu mambo mengine mfano.
Perfomance
Battery
Charging
Durability
Materials mfno hardware na software...OS, nk
Camera both normal na selfie
Storage
Display
Weight
Ili nipate cha kumshaurii huyu bwana mdogo.
Asanteee....
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi natumia simu ndogo tu ya Samsung A11. Sijawahi kuvuka hapo hivyo sina uzoefu na hizi mnazoita Flagship.
Sasa wataalam wa gadgets hapa naomba ushauri wenu. Japo kichwa cha habari nimeweka vitu viwili lakini napenda nishauriwe zaidi kuhusu mambo mengine mfano.
Perfomance
Battery
Charging
Durability
Materials mfno hardware na software...OS, nk
Camera both normal na selfie
Storage
Display
Weight
Ili nipate cha kumshaurii huyu bwana mdogo.
Asanteee....
Sent using Jamii Forums mobile app