EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Kumekuwa na mijadala mingi ya kuwa ni sehemu gani hasa ambayo unaweza kukutana na mtu ambaye huenda akaja kuwa mke/mume. Katika mjadala huo kumekuwa na misemo mingi baadhi yake ikiwa;
Utakapokutana na mke wako ndipo mtakapoachania (kama ni baa then mtaachania baa)
Mke/Mume mwema hutoka kwa Mungu nk.
Katika mapinduzi ya teknolojia nayo yameibua njia nyingine mpya ya kukutana kwa watu na baadae kuanzisha mahusiano, MTANDAO. Njia hii imekuwa inasemwa sana kwamba mahusiano yake huwa hayaaminiki sana (Dhana hii imewekwa na wahusika wenyewe) Hivyo kusababisha mahusiano mengi yanayoanzishwa na njia hii kuwa ya muda mfupi or "oneoff"
Sasa hebu tuambizane kidogo kwa mitizamo yetu ni wapi hasa au njia ipi ukikutana na mtu huko then anaweza kuwa mume/mke mwema.....
Utakapokutana na mke wako ndipo mtakapoachania (kama ni baa then mtaachania baa)
Mke/Mume mwema hutoka kwa Mungu nk.
Katika mapinduzi ya teknolojia nayo yameibua njia nyingine mpya ya kukutana kwa watu na baadae kuanzisha mahusiano, MTANDAO. Njia hii imekuwa inasemwa sana kwamba mahusiano yake huwa hayaaminiki sana (Dhana hii imewekwa na wahusika wenyewe) Hivyo kusababisha mahusiano mengi yanayoanzishwa na njia hii kuwa ya muda mfupi or "oneoff"
Sasa hebu tuambizane kidogo kwa mitizamo yetu ni wapi hasa au njia ipi ukikutana na mtu huko then anaweza kuwa mume/mke mwema.....