Ipi ni sahihi?

tz1

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
2,121
534
Sisi binadamu,Tunasikia kuna mungu au tunamjua mungu?
 
Sisi binadamu,Tunasikia kuna mungu au tunamjua mungu?

Mungu ni Roho, nao wamjuao yeye wamjua katika Roho na Kweli. Huwezi kuamini usichokijua. Lazima kwanza umjue, then umwamini. Hata wanaomtumikia Shetani lazima wamjue ndiyo wamwamini wakishamjua.
 
Unaweza kumjua mtu bila ya kumwona kwa macho?
 
Mungu ni Roho, nao wamjuao yeye wamjua katika Roho na Kweli. Huwezi kuamini usichokijua. Lazima kwanza umjue, then umwamini. Hata wanaomtumikia Shetani lazima wamjue ndiyo wamwamini wakishamjua.

Ahsante!
Jibu limejitosheleza
 
We jaribu kuja na mada zinazojenga,usipende kujadili yaliyo nje ya uwezo wako,otherwise karibu Moshi kwa Mwakasege ufanyiwe maombi faster
Kila binadamu ana haki ya kuamini anacho penda.
Katika dini zote zilizoko watu wana amini miungu tofauti.Kuna wanao amini Ngombe,panya na nk.
Hivyo siyo lazima iwe sawa na unacho amini.Nani kakuambia mungu unaye mwamini ndo wa haki.
Acheni uoga wa kupandikizwe na anza kujifunza badala ya kukurupuka.
 
umelewa viroba ee!
Jibu hoja kama unajua unacho ongea.Inaonekana hujui unacho abudu ndiyo maana unaanza kutukana badala ya
kujibu hoja.Hutaweza kueleweka kwa kutukana lete point ili utetee jibu lako.
Ulichonacho ni uoga uliyo pandikizwa.
 
Back
Top Bottom