Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Ukijichanganya kutongoza Mwanamke yoyote tu, hapo utaanza kupigwa vizinga tena Kwa kulazimishwa utadhani anakudai.
Hivi kwanini wanawake wamegeuka kua omba omba? Shida imekua nini? Hivi tunawezaje kupata Mwanamke wa kuoa kwenye kizazi hiki Cha omba omba?
Juzi nimejaribu kutafuta wapenzi wangu wa zamani kama watatu hivi kuwasalimia tu maana tuliachana vizuri tu, kitendo Cha kuwasalimia tu utasikia "Nitumie 20,000 na shida nayo" yaani woote wamekua omba omba, hakuna mambo mengi ni pesa pesa pesa, hebu jaribu kumtafuta Binti yoyote uone utakavyopigwa mzinga, alafu imekua ni kawaida tu mpaka nimeshangaa kabla ya kumtafuta alikua anaishije?
Kwanini hayo mambo hayakuepo Zamani Je dunia imeharibia au maisha yamekua Magumu au upendo haupo?
Hivi kwanini wanawake wamegeuka kua omba omba? Shida imekua nini? Hivi tunawezaje kupata Mwanamke wa kuoa kwenye kizazi hiki Cha omba omba?
Juzi nimejaribu kutafuta wapenzi wangu wa zamani kama watatu hivi kuwasalimia tu maana tuliachana vizuri tu, kitendo Cha kuwasalimia tu utasikia "Nitumie 20,000 na shida nayo" yaani woote wamekua omba omba, hakuna mambo mengi ni pesa pesa pesa, hebu jaribu kumtafuta Binti yoyote uone utakavyopigwa mzinga, alafu imekua ni kawaida tu mpaka nimeshangaa kabla ya kumtafuta alikua anaishije?
Kwanini hayo mambo hayakuepo Zamani Je dunia imeharibia au maisha yamekua Magumu au upendo haupo?