Ipi ni dawa ya wivu?

Ipi ni dawa ya wivu?

Mhhhh! Braza kaka ana insecurity problem, pengine sababu ya urembo wako anaogopa kunyang'anywa tonge mdomoni help him build his self esteem ndio muarubaini, niliwahi kuwa katika mahusiano na kadada fulani kalinitoa jasho ilifikia hatua nikimpigia simu ikawa busy mapigo ya moyo yanabadilika, shida ni kutojiamini tu
 
Wivu ni mbolea ya mapenzi, lkn ukizidi sana inakuwa kero, pia wivu auna tajiri wala mlala hoi, wivu ni moja ya nguzo ya mahaba, kama kweli huna wivu, umpendi mwenzio.
 
asee una moyo,wanaume tumejaa namna hii we bado umerudia matapishi yako mkuu?au mvuto nao huna?
Tukibadilisha badilisha tunaitwa malaya...kuwa na mvuto sio kigezo cha kubadilisha wanaume hovyo
 
Tukibadilisha badilisha tunaitwa malaya...kuwa na mvuto sio kigezo cha kubadilisha wanaume hovyo
sasa kama mtu alikucheat ya nini kumrudia mkuu?au ulitupiga fix?
 
Asprin ukiweka kwenye Konyagi itakufaa maana ukinywa utakufa na hapo ndipo wivu utaumaliza
 
Tabia .

Hasa za ndani ndan kama wivu, hasira na tamaa.

Mara nying mtu huzaliwa nazo.

Ngumu sana kubadilika.
 
Back
Top Bottom