Ipi ni dawa ya wivu?

Ipi ni dawa ya wivu?

Mapenzi ya dhati yakizidi huonekana usumbufu kuna wadada wenzio wanatafuta hata mtu wa kumuuliza upo wap aliobaki nao wanagegeda tu....
Hahahaaaa ww inabidi upigwe ban umeniacha hoi sana,unauzoefu mzuri sana aisee
 
Habari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee


Njia bora kabisa ni kuwa muwazi kwake. Ukifanya hivyo atakuwa anaona dhana aliyonayo kwako anakosea na taratibu atabadilika. Kumbuka usipokuwa makini kuwa muwazi kwake itapelekea kuharibu uhusiano
 
1.Punguza kumuonesha unampenda:

Hata mtoto mdogo anakua na wivu na mama ake ila kadri anavyokua na kuona kuna wengine wanazaliwa baada yake anaona mapenzi ya mama kama yamehamia kwa mdogo wake, basi hapo wivu unapungua.

2.Mzalie mtoto:
Zaa mtoto na ji keep busy na mwana kuliko yeye, hapa ni kama una apply rule 1, ukimpenda mtoto sana na kumnyima yeye airtime atazoea miaka 2 au 3 atakuwa hana wivu kabisa.
 
Na ww muoneshe wivu uliopitiliza kila kitu akifanya akitolee maelezo na uhakika ataacha
 
Habari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
Mimi kaka yako niliyepitia haya mambo miaka kama 18 iliyopita ningekupa ushauri wa bure kabisaaaa lakini wewe bwana mdogo kichwa cha motooo sana.
 
Jamani na Mimi in mwathirika wa wivu lol ninawivu sana ile kauli chapekee yako labda kaburi nimeshidwa mpk saizi Nina miaka 30 sijaolewa sababu ya wivu nataka awe wangu tu hahahaaa
 
Back
Top Bottom