Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Basic Certificate. Ningeomba msaada kwa anayeweza kunifahamisha aina ya laptop na space inayotakiwa ili nifanikishe lengo langu.
Natanguliza shukrani kwenu.
Natanguliza shukrani kwenu.