Promoter One
Member
- Dec 19, 2019
- 65
- 47
Befoward
Hayo makampuni, Beforward, SBT, Autocom, yana ofisi zao DSM. Ukiogopa kutapeliwa, basi unaenda kwenye ofisi zao kwa msaada wa karibu. Hata ukiamua ku order online, bado kuna maelekezo ya kutosha kung'amua mbinu za kitapeli, kuna documents wanakuonesha.Je nahao wanotapiliwa inakuwaje? Hebu toeni somo na hapo. Ili mtu asije akatapeliwa tena hela zake za mafao. Unaweza ukatapeliwa kupitia makampuni hayo mliyoytaja au wanaotumia online auction ndio mara nyingi huwa wanatapeliwa?
Ha ha ha unaenda na timu ya mafundi
Hata mimi nimeona tofauti ya 500USD Kari ya SBT vs Be Forward.Ahaa sikujua ila sbt na cardeal naona kms zao chache af bei kitonga
Kariakoo sehemu gani?Sikuhizi be forward wamefungua Duka la spare parts pale Kariakoo yaani Kwa spare ya gari yeyote Ile utaweza kuagizia kupitia ofisini kwao na utaipata baada ya siku 30.
Hawa jamaa wapo mpaka Kwenye simu, TV,radio, computer na mashine mbalimbali sidhani Kwa Tanzania kuna kampuni ambayo most trusted kama be forward
Iko vizuriHapo inategemea na wewe mwenyewe unachangamka kiasi gani...
Meli ikishaondoka Japan, wanakujuza...zikiisha wiki mbili beforward wanakutumia documents zote za gari kutoka huko Japan kwa kupia DHL au shirika lingine watakalopenda wao.
Ukishapokea hizo docs inakuwa zimebaki wiki mbili meli ifike Dar...hizo wiki mbili ndiyo unazitumia kuchakarika kulipia kodi zote stahiki huko TRA ili meli ikifika unakuwa umeshakamilisha malipo yako karibu yote..
Meli ikifika inatakiwa utoe gari ndani ya siku saba, zaidi ya hapo utakuwa unatozwa gharama ya gari kukaa bandarini kila siku...(penalty after grace period).
Mara nyingi ukiwa umeshakamilisha malipo ndani ya zile wiki mbili kabla ya meli kuwasili, Meli ikifika tu unaweza kulipata gari lako ndani ya siku mbli mpaka nne at most.
Kuhusu bima, ukishafanya registration ya gari TRA na kupewa plate number na kadi, hapo unaweza kwenda na kadi ya gari kulipia bima...coz gari likishakubaliwa kutoka bandarini ina maana limekamilika usajili wake....na polisi wana haki ya kukupiga faini kama huna bima..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh mbona mi nawatumiaga sana hawana noma, umezinguliwa nini mkuu?SBT hamna kitu hapa bongo
Labda tumieni kule ng`ambo lakini hapa bongo utalia
Hamna kitu.Mmmh mbona mi nawatumiaga sana hawana noma, umezinguliwa nini mkuu?
Hamna kitu nini sasa?Hamna kitu.
Labda uliagizia wale wa nje
Namaanisha agiza moja kwa moja bila ya kupitia wakala waliopo hapa tzHamna kitu nini sasa?
Wa nje wapi?
Msimbazi karibu na Salama bearing kuna mtaa mdogo unaitwa mvitaKariakoo sehemu gani?
Declare ur interest.Befoward ni mapaka pori niliagiza nao gari ikawa bomu wakakataa kuwa liable na wanajinasibu kuwa wanafanya ukaguzi (inspection) ya nguvu hukohuko kiufupi wale ni mbwa mwitu kabisa , Tumia Tradecarview sikuhizi wanajiita TCV hao jamaa hutajutia
Asante mkuu, spare unaagiza nje kupitia wao au utaratibu unaendaje?Msimbazi karibu na Salama bearing kuna mtaa mdogo unaitwa mvita
Spare parts unapata Kwa kuagiza kupitia mtandao wao,ukifika hapo Msimbazi kuna store Yao ya kuuza spare na unaweza kuagiza Kwa kuingia Kwenye mtandao na utachagua spare unavyotaka na utapata ndani ya wiki 3Asante mkuu, spare unaagiza nje kupitia wao au utaratibu unaendaje?
TCV na Bei zao za kubumba'Befoward ni mapaka pori niliagiza nao gari ikawa bomu wakakataa kuwa liable na wanajinasibu kuwa wanafanya ukaguzi (inspection) ya nguvu hukohuko kiufupi wale ni mbwa mwitu kabisa , Tumia Tradecarview sikuhizi wanajiita TCV hao jamaa hutajutia
Uzi mtamuTCV na Bei zao za kubumba'