Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Msaada tena, insurance company wanacalculate vp comprehensive insurance ya gariPoa poa inawezekana ikawa hivyo...huenda jumatatu ukapata majibu mazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada tena, insurance company wanacalculate vp comprehensive insurance ya gariPoa poa inawezekana ikawa hivyo...huenda jumatatu ukapata majibu mazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishakabidhiwa gari lako, unatakiwa kufanya service yeyote au ni kupuyanga tu kwa road?Hapo inategemea na wewe mwenyewe unachangamka kiasi gani...
Meli ikishaondoka Japan, wanakujuza...zikiisha wiki mbili beforward wanakutumia documents zote za gari kutoka huko Japan kwa kupia DHL au shirika lingine watakalopenda wao...
Msaada tena, insurance company wanacalculate vp comprehensive insurance ya gari
Inategemea lipo kwenye hali gani,Ukishakabidhiwa gari lako, unatakiwa kufanya service yeyote au ni kupuyanga tu kwa road?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea lipo kwenye hali gani....
Kuna gari lingine linakuja na hali nzuri sana, hapo unaweza kuendesha tu bila shida....kwa sababu haya magari yanakuwa yamekaguliwa kabla hayajaja....ila ukaguzi huu si wakuuamini sana...
Kiongozi vp... uzoef wa kampun ya beforward unao tuwasiliane??Ninauzoefu na beforwad...inachukua mwezi na wiki tatu mpaka miezi miwili gari linakuwa limeshafika bandarini....
Wiki tatu mpaka nne za mwanzo ukishalipia gari, wanatumia muda huo kusubiria meli ijae mizigo na taratibu nyinginezo...
Rekebisho;Hapo inategemea na wewe mwenyewe unachangamka kiasi gani...
Meli ikishaondoka Japan, wanakujuza...zikiisha wiki mbili beforward wanakutumia documents zote za gari kutoka huko Japan kwa kupia DHL au shirika lingine watakalopenda wao...
Samahani sijaelewa kidogo Be foward Umenegotiate nao kivipi embu tupe tips kidogo Mkuu !!Kweli mkuu..... niliagiza gari last year na Beforward moja kwa moja kutoka Japan kupitia simu yangu ya Mkononi. Gari ilifika miezi miwili baada ya kuagiza ikiwa katika ubora ule ule kama niliouona kwenye picha..... Beforward walinipa nafasi ya kubargain nao bei ya gari na walifanikiwa kunipunguzia USD 450 kutoka bei ambayo walikuwa wameiweka kwenye website Yao...
Nimeshaagiza magari SBT na Beforward. Hayakuzidi siku 45.Ukiagiza gari kupitia makampuni haya, huchukua siku ngapi gari kukufikia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku mbili hadi nne kama una wakala mzuri.Ikishafika inatumia muda gani kulipata mkononi kama ushalipia kila kitu na bima ya gari inatakiwa kuwekwa baada ya muda gani ukishalipokea
hapo kwene kubargain apoKweli mkuu..... niliagiza gari last year na Beforward moja kwa moja kutoka Japan kupitia simu yangu ya Mkononi. Gari ilifika miezi miwili baada ya kuagiza ikiwa katika ubora ule ule kama niliouona kwenye picha..... Beforward walinipa nafasi ya kubargain nao bei ya gari na walifanikiwa kunipunguzia USD 450 kutoka bei ambayo walikuwa wameiweka kwenye website Yao...
Unaweza kulipa hata kabla aijafika kinachotakiwa hule na documents zote ambazo unazipata wiki mbili kabla ya gari kufika bandarinRekebisho;
Malipo ya TRA yanafanyika mara gari likiingia bandarini,wanalikagua ndio unaandaliwa invoice ya malipo.
Utakapotaka kuagiza gari na Beforward, utatakiwa kufungua account kwenye website yao, moja ya taarifa utakazoweka ni email address yako.Samahani sijaelewa kidogo Be foward Umenegotiate nao kivipi embu tupe tips kidogo Mkuu !!
Natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app
Rekebisho;
Malipo ya TRA yanafanyika mara gari likiingia bandarini,wanalikagua ndio unaandaliwa invoice ya malipo.
Hakuna kitu kama hicho...!!! Malipo ya TRA unafanya pindi unapopokea documents zote za gari lako..!!! Malipo unayofanya gari ikishaingia bandarini ni Port charges ambayo ni malipo ya TPA.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tangu Desemba Mosi wameamua watambulike kuwa TCV Corporation.analgesic,
Ni kweli kabisa,nimeshawahi nunua gari kwa hawa jamaa,gari ilikuja kama walivyonitumia picha baada ya wao kuikagua..
Kila nikitaka kununua gari kupitia beforward huwa sifanikiwi kwa sababu hawana room for negotiations na hawajibu maswali kama ambavyo mteja anastahili kujibiwa. Kwa mfano ubora wa gari au ikiwa limewahi kupata ajali etc. wameshajijengea jina hivyo wana kibri na dharau kwa wateja. Ninaamini kabisa kuwa watu wanaonunua magari kupitia beforward are less informed...