kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
Huu ushauri sio sahihi,ushauri sahihi ungesema watu waende kwa dealers au uwaelekeze jinsi ya kujua tv fake na original lakin sio waache kununua brand kubwa kisa watapigwa copyUshauri wa bure ...
Msipende kununua Tv za kampuni zenye majina makubwa kama SONY, SAMSUNG au LG kwani asilimia kubwa ni copy na sio ORIGINAL .
Ni bora kununua tv ya kichina halisi kutoka kwenye kampuni husika kuliko kununua copy ya Kampuni kubwa . Mfano huwez kukuta copy ya Star-X au arboder au TCL.
Kwa ushauri pia ukitaka tv imara na hutojutia nunua TCL hizi ni tv imara sana na ninayangu inatumika 24 hrs mwaka wa pili sasa haimjui fundi licha ya misukosuko ya short ya umeme lakini bado ipo safi. Picha clear kabisa 1080 au 720 resolution safi kabisa . Nunua TCL mkuu