toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Wakuu nataka ninunue flat screen kuanzia nchi 32 na kuendelea kati ya hizi brand ninunue ipi?
TV BRAND HIZI
AILYONS,
ALITOP,
ABORDER,
BOSS,
GOOD VISION,
PMC,
HIGH Q,
SOLAR MAX,
STAR CROWN,
ZUNNE
ABORDER
RISIN
Kati ya hizo brand hapo ni tv ipi ambayo inadumu,imara, Ina quality bora ya picha yaani resolutions nzuri sana lakini pia imara na inayodumu?
Nawasilisha
Mrejesho: Finally nimechukua boss inch 43, asanteni sana.
TV BRAND HIZI
AILYONS,
ALITOP,
ABORDER,
BOSS,
GOOD VISION,
PMC,
HIGH Q,
SOLAR MAX,
STAR CROWN,
ZUNNE
ABORDER
RISIN
Kati ya hizo brand hapo ni tv ipi ambayo inadumu,imara, Ina quality bora ya picha yaani resolutions nzuri sana lakini pia imara na inayodumu?
Nawasilisha
Mrejesho: Finally nimechukua boss inch 43, asanteni sana.