Ipi bora kati ya Sole Proprietor au Company Limited?

political Engineer 2

JF-Expert Member
Oct 9, 2014
291
705
WADAU Salamu sana kwenu.

Awali nilifanya biashara kama proprietor na Kwa kuwa nilizihudumia taasisi za serikali basi nililazimika kununua EFD machine.

Changamoto ni kwamba unaweza ku supply bidhaa za 10m lakini katika hiyo faida Yako ni 2m ,mwisho wa mwaka unajikuta mashine Ina Mauzo ya 100m na TRA wanaotoza Kodi hiyo 100m Wala siyo kwenye faida, sasa hayo ni maumivu maana Kodi inaweza zidi faida Yako, nilipowauliza wakasema wao wanaangalia Mauzo Yako.

Baadae nikaona nifungue company limited, hii nayo inazonchangamoto kadhaa, kwanza lazima umtafute professional accountant hata kama hujafanya biashara huo mwaka Laini lazima ufile return, na usipofanya unakutana na penalty za kutosha, ku file biashara waasibu wanataka laki tano. Wakati mwingine umefanya biashara ila faida ni kidogo.

Je ni kipi Bora Kati ya kufanya kama sole proprietor au Company limited?
 
Habari mkuu. Kwa maelezo yako ni nafuu zaidi kuweza kucontrol mambo yako ya kibiashara ukiwa katika form ya KAMPUNI kuliko sole proprietor.
Ni kweli gharama za uendeshaji zinaweza kuwepo nyingi lakini ni salama na nafuu zaidi zaidi hata ikitokea kuna mgogoro wa kikodi umetokea ambapo utakua salama kuliko ukiwa sole proprietor ambapo itapiga hadi nyumbani kwako na mke wako.
Fanya uamuzi wa busara zaidi.

Ukihitaji kusajili kampuni, masuala ya TRA na ushauri wa kiuendeshaji karubu sana

0755963775 calls/WhatsApp
 
WADAU Salamu sana kwenu.

Awali nilifanya biashara kama proprietor na Kwa kuwa nilizihudumia taasisi za serikali basi nililazimika kununua EFD machine.

Changamoto ni kwamba unaweza ku supply bidhaa za 10m lakini katika hiyo faida Yako ni 2m ,mwisho wa mwaka unajikuta mashine Ina Mauzo ya 100m na TRA wanaotoza Kodi hiyo 100m Wala siyo kwenye faida, sasa hayo ni maumivu maana Kodi inaweza zidi faida Yako, nilipowauliza wakasema wao wanaangalia Mauzo Yako.

Baadae nikaona nifungue company limited, hii nayo inazonchangamoto kadhaa, kwanza lazima umtafute professional accountant hata kama hujafanya biashara huo mwaka Laini lazima ufile return, na usipofanya unakutana na penalty za kutosha, ku file biashara waasibu wanataka laki tano. Wakati mwingine umefanya biashara ila faida ni kidogo.

Je ni kipi Bora Kati ya kufanya kama sole proprietor au Company limited?
Ubora wa nini?

"Sole Proprietor" ni biashara isiyo na mshirika na "Company Limited" ni biashara yenye washirika.


Kama upo peke yako ni "Sole", na kama mpo shirika ni "Company".

Simpo.
 
WADAU Salamu sana kwenu.

Awali nilifanya biashara kama proprietor na Kwa kuwa nilizihudumia taasisi za serikali basi nililazimika kununua EFD machine.

Changamoto ni kwamba unaweza ku supply bidhaa za 10m lakini katika hiyo faida Yako ni 2m ,mwisho wa mwaka unajikuta mashine Ina Mauzo ya 100m na TRA wanaotoza Kodi hiyo 100m Wala siyo kwenye faida, sasa hayo ni maumivu maana Kodi inaweza zidi faida Yako, nilipowauliza wakasema wao wanaangalia Mauzo Yako.

Baadae nikaona nifungue company limited, hii nayo inazonchangamoto kadhaa, kwanza lazima umtafute professional accountant hata kama hujafanya biashara huo mwaka Laini lazima ufile return, na usipofanya unakutana na penalty za kutosha, ku file biashara waasibu wanataka laki tano. Wakati mwingine umefanya biashara ila faida ni kidogo.

Je ni kipi Bora Kati ya kufanya kama sole proprietor au Company limited?

Ukiwa na biashara na una EFD machine hakikisha na wewe Unanunua bidhaa unapewa na EFD ili ikusaidie wakati wa kulipa kodi
 
Hapo kila moja ina faida na hasara zake...kwa ujumla kampuni ni vema zaidi kwa mustakabari mpana wa biashara utakazo...leo na kesho. Professionalism ktk kuendesha Kampuni ndio jambo mhimu na pia costful ila ukilimudu inakuwa njema sana.
mustakabari => mustakabali.

costful => costly.
 
Back
Top Bottom