Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Ata camera bado haifiki ata samsung s3 ya zaman ,nmetumia experia z1 haina camera nzuri n megapixel nyng tu afu usidanganyike kwamba simu ikiwa na megapixel nyng ndo inatoa picha nzuri mkuu...
Umetumia Z1 unaiponda Z2, Z3, Z5 Mtanzania bwana

Mwenzio hajazungumza lolote kuhusu Megapixel umejitungia pepa na kujisahihishia mwenyewe
 
Vitu vya kizamani hivo. Wireless? Tunaongelea wireless za headphones zamani sana. Waterproof hiyo Samsung walitoa miaka 2 iliyopita kuanzia s5
Waterproof walianza kuitoa Sony Xperia hata hao Samsung ni technology mpya kwao ila wafuatilie Sony walianza nayo zaman
 
Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
Mimi nilishatumia galaxy note 3 ipo vizuri kwenye kamera zaidi ya note 4 ambayo ndo ninaitumia kwa sasa japokua note 4 ndo yenye thamani kubwa kuliko note 3
 
Tafuta iPhone 5S na hizo smartphones nyingine then piga picha kwenye location moja halafu anza kucompare simu ipi inatoa picha yenye uhalisia na yenye ubora. Ukiona inakusumbua zichukue hizo picha hamishia kwenye computer halafu anza kuzichambua.
Kwa Mimi iPhone is the best
NOTE:
Ogopa sana unapiga picha badala ya kukutoa rangi yako nyeusi unatoka maji ya kunde.
 
Tafuta iPhone 5S na hizo smartphones nyingine then piga picha kwenye location moja halafu anza kucompare simu ipi inatoa picha yenye uhalisia na yenye ubora. Ukiona inakusumbua zichukue hizo picha hamishia kwenye computer halafu anza kuzichambua.
Kwa Mimi iPhone is the best
NOTE:
Ogopa sana unapiga picha badala ya kukutoa rangi yako nyeusi unatoka maji ya kunde.
hahahahahahahahaha
 
Camera phone siku hizi sio tu point and shoot. Kuna settings za ziada. Sasa wewe ni Pro au Ndio selfie za Bafuni?

Kwa simu zako Mbili, Note 4 na iPhone 5S ni vita mbili tofauti.
iPhone 5S ni ya zamani sana (Sept 2013) wakati Note 4 ni ya mwaka mmoja mbele (Sept 2014) ingawa second hand bei zao hazipishani sana, zote ni kati ya 500/600k.

Ila mi nashauri Note 4, sio kwamba nadanganyika na pixels number, ila naangalia na support pia ya OS updates, possibly Note 4 itapata Android N. Sijui 5S kama itapata iOS10, am not an Apple Fan.

Kama una options nyingine mbali na izo, wafikirie Sony Z series, LG G series especially G4 na 5, na kwa budget phones cheki Xiaomi Mi.
 
Mkuu unatakiwa utumie hii Nokia lumia 950 XL alaf urudi kuja kuhakiki thread yako kuhusu iphone.......nadhani unaona hapo mega pixels ngapi zimeandikwa.....

Ogopa simu mpaka watu wanatumia kufanya shooting kabisa.

c168936d38c51a007b8da18d1f4958cc.jpg
 
Mkuu unatakiwa utumie hii Nokia lumia 950 XL alaf urudi kuja kuhakiki thread yako kuhusu iphone.......nadhani unaona hapo mega pixels ngapi zimeandikwa.....

Ogopa simu mpaka watu wanatumia kufanya shooting kabisa.

c168936d38c51a007b8da18d1f4958cc.jpg
hio ni lumia 1020 na sio 950xl. lumia 1020 ndio ina camera 41mp na xenon flash (hiko kitaa kirefu hapo)

lumia 950xl yenyewe ina triple led flash, zipo flash tatu lakini still ni led hivyo haipo level moja na xenon ya 1020

New-photos-of-Lumia-950-and-Lumia-950-XL-prototypes-show-triple-LED-flash-on-both-models.jpg
 
hio ni lumia 1020 na sio 950xl. lumia 1020 ndio ina camera 41mp na xenon flash (hiko kitaa kirefu hapo)

lumia 950xl yenyewe ina triple led flash, zipo flash tatu lakini still ni led hivyo haipo level moja na xenon ya 1020

New-photos-of-Lumia-950-and-Lumia-950-XL-prototypes-show-triple-LED-flash-on-both-models.jpg
Asante kwa marekebisho......nambie hiyo camera model na hizo iphone za mtoa post, let us be hpnest ?
 
Back
Top Bottom