Eti vitu vya kizaman umekosa hoja ya kujidefend nigaa..tena hao samsung ndo imitator wakubwa walicopy kwenye iphone wakatoa slot ya memory kadi kwenye s6 wakaona haziuzi ,kwenye s7 wamerudisha eti..naona wakaanza na wao kudizyn simu za aluminium izi alpha nazo wamecopy.......Vitu vya kizamani hivo. Wireless? Tunaongelea wireless za headphones zamani sana. Waterproof hiyo Samsung walitoa miaka 2 iliyopita kuanzia s5
Nna hoja ya msingi soma tena coment yanguEti vitu vya kizaman umekosa hoja ya kujidefend nigaa..tena hao samsung ndo imitator wakubwa walicopy kwenye iphone wakatoa slot ya memory kadi kwenye s6 wakaona haziuzi ,kwenye s7 wamerudisha eti..naona wakaanza na wao kudizyn simu za aluminium izi alpha nazo wamecopy.......
Vitu kama edge na wireless charge sio vitu vya kubeza ndio maana nasema iPhone waumize kichwa kweli kweli. Simu kuwa waterproof ni technology ya nyuma kidogo kwa Samsung imeanzia s5.Nmesoma ila bado ujanishawishi kuelewa unachosema
Sasa io wireless charging mbona lumia sjui ya 2012 ilikuwa nayo tayar mbona umengangania sana apo waterproof yenywe sony kitambo alikuwa nayo...Vitu kama edge na wireless charge sio vitu vya kubeza ndio maana nasema iPhone waumize kichwa kweli kweli. Simu kuwa waterproof ni technology ya nyuma kidogo kwa Samsung imeanzia s5.
Kwa sasa hivi simu inayoongoza ni s7...lkni near future lzma aje aongoze note 6 na simu ya sony itakayokuwepo..hizo ndio zinazofanya vizuri kwenye cameraHivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
Sidhi kama una experience na hhiz simu naona wee ni mnazi wa iphon tuu akati huzijui hizi nyingineSasa io wireless charging mbona lumia sjui ya 2012 ilikuwa nayo tayar mbona umengangania sana apo waterproof yenywe sony kitambo alikuwa nayo...
hyo j8 inapitwa hadi na c8 kwa camera nzur...tecno j8 hapana kabisa,hizo nyingine migizagiza mingi sana,overrrrrr
Hiyo z2 umepata update za Android 6 kwa OTA au bado? Mie ya kwangu sijapataMimi natumia Z2 na camera yake ni bora kabisa...
Nimepata update zote from Sony Since April....Sasa ni raha tupu ndani Marshmallow 6.01.,, simu iko fasta na smooth...Mkuu
Hiyo z2 umepata update za Android 6 kwa OTA au bado? Mie ya kwangu sijapata
Nimepata update zote from Sony Since April....Sasa ni raha tupu ndani Marshmallow 6.01.,, simu iko fasta na smooth...
Taarifa uliyopata si sahihi mkuu, cha msingi ni specification zake na aina ya picha itakayotoa. Ni vizuri kujiridhisha.Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
Mkuu cha msingi ni kuangalia specification na picha irayotolewa. Makampuni mengine yanadanganya sana kwenye specs lakini picha sio nzuri. Kwa sio kwamba siku zote kampuni fulani itakuwa juu kuliko nyingine. Halafu pia kumbuka kuna ushindani.Mhh iphone ikasome kwa sony experia anaefata ni samsung galaxy s 6 au galaxy kuanzia not 3 kuendelea
Hapo hakuna cha USA baby!!!Samsung S7 edge ni ndo bora zaidi.
hyo j8 inapitwa hadi na c8 kwa camera nzur...
Ni hiyo hiyo.....D 6503Sony ipi ya kwangu ni d6503 ndiyo model yako au? ya kwangu ni hiyo bado sijapata.
Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
ningekushauri ununue Nexus 6p au nexus 5x, hizi zinatoa picha nzuri hasa kwenye low light. Shida upatikanaji wake hapa bongo ndo nahofiaHivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...