Apple ananakili kutoka wapi huyo ndo baba wa simu za mkononiNitaruka nayo.. Ila hawa jamaa kwa kunakili🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Lini wanazindua nijichange mapema ?Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. View attachment 3558834
Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400.
Hapo bado ushuru, na faida za wenye maduka.
Kazi ipo.
Fold phone zote mwanzilishi ni mkorea na mchinaApple ananakili kutoka wapi huyo ndo baba wa simu za mkononi
Wananunua wenye mitaji tayarihiyo pesa ni mtaji tosha kwa mfano ukija kijijini utajenga nyumba ya kawaida(low budget)ya kuishi.
Bora kiswaswadu tu..
Hiyo bado ni bei ndogo nikilinganisha na simu za gharama zilizopo duniani hukoWakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. View attachment 3558834
Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400.
Hapo bado ushuru, na faida za wenye maduka.
Kazi ipo.
Watumiaji wa apple hamjawahi kuwa na akili timamu, Ndo mana apple anawanyoosha vilivyo.Apple ananakili kutoka wapi huyo ndo baba wa simu za mkononi