win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 3,009
- 9,126
fanya jambo tupate ifoni forteeeeeen 🤗Labla niseme mm n mshamba, ila hata niwe na pesa vp, sitokaa nitumie simu ya fold
fanya jambo tupate ifoni forteeeeeen 🤗Labla niseme mm n mshamba, ila hata niwe na pesa vp, sitokaa nitumie simu ya fold
Eh utajiri wa ukoo wetu kwa pamoja ndo unataka uutumie kwa kutuma sms na kupiga simu tuu?fanya jambo tupate ifoni forteeeeeen 🤗
si ulisema upo radhi uuze dunia nzima kikubwa nifurahi, mbona unanigeuka😥😂😂😂Eh utajiri wa ukoo wetu kwa pamoja ndo unataka uutumie kwa kutuma sms na kupiga simu tuu?
Ah ww tumia Nokia tochi tuu bhana 😎
Ah nilikuwa Nmelewa bhana 😂 muuzaji aliniwekea vidonge vya kulevyasi ulisema upo radhi uuze dunia nzima kikubwa nifurahi, mbona unanigeuka😥😂😂😂
basi narudi zangu kwetuAh nilikuwa Nmelewa bhana 😂 muuzaji aliniwekea vidonge vya kulevya
Ah bhana usinifanyie hvy, ujue mm bila ww Siwez kitu, n bora nife kuliko kutengana na wwbasi narudi zangu kwetu
sasa ukifa unahisi nitabaki na nani😪 we jikakamue nipate simu ya kuingilia tiktok na kupigia pichaAh bhana usinifanyie hvy, ujue mm bila ww Siwez kitu, n bora nife kuliko kutengana na ww
Nalifanyia kazi hilo mamaasasa ukifa unahisi nitabaki na nani😪 we jikakamue nipate simu ya kuingilia tiktok na kupigia picha
mabao ndo manini kwanzaNalifanyia kazi hilo mamaa
Mradi wangu wa kuuza mabao Unaendelea vzr, mpaka kesho jioni ntakuwa nmesafirisha mapipa mawili ya mabao kwenda UK na France niliyokusanya kwa wiki moja tuu.
Mazao ya nyeto 😎mabao ndo manini kwanza
Mazao ya nyeto 😎
Khs hiyo iPhone imeisha Hiyo, kaa karibu na muuzajikhaaaa😱
Kaka nime amua kuangalia series tu, arteta aache uwaki.Arsenal wanazingua sana
Mmebanduliwa bhana 😂Kaka nime amua kuangalia series tu, arteta aache uwaki.
Sipingi.Wananunua wenye mitaji tayari