IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

Halafu tupo kimya hatusumbui kama makatapera ya iphone
IMG_20220210_064429.jpg
 
Niliivua cava ni IPhone 13

Wee jamaa kumbe mshamba sana...Iphone haikaguliwi kwa kuvua cava wewe!
Baada ya kuvua cava uliona inachapa kwamba ni iphone 13?
Halafu kutumia kigezo kwamba huyo yuko vizuri kiuchumi hakuwezi kuprove kwamba atanunua kitu genuine, ishu ana ujuzi wa kutambua kwamba kitu flani ni Og ama la!
Yupo dada mmoja alikuw anahitaji kununua sumsung S9 wakati zinatoka, so kwa sababu hakuwa anazijua kiundani akaingia dukani wakamshikisha famba bila kujua kwa kulipia bei sawa na Og, tukafuatilia aliyemshikisha akarudisha mpunga!
Sasa kwa hizo Iphone 13 wapo wadada humu mtaani wanazo na wanajiweza kiuchumi ila walishikishwa mafamba na wajanja kwa kuwa wengi hawajui kukakugua specifications kama ulivyo wewe ambaye unatoa cava.
 
Wee jamaa kumbe mshamba sana...Iphone haikaguliwi kwa kuvua cava wewe!
Baada ya kuvua cava uliona inachapa kwamba ni iphone 13?
Halafu kutumia kigezo kwamba huyo yuko vizuri kiuchumi hakuwezi kuprove kwamba atanunua kitu genuine, ishu ana ujuzi wa kutambua kwamba kitu flani ni Og ama la!
Yupo dada mmoja alikuw anahitaji kununua sumsung S9 wakati zinatoka, so kwa sababu hakuwa anazijua kiundani akaingia dukani wakamshikisha famba bila kujua kwa kulipia bei sawa na Og, tukafuatilia aliyemshikisha akarudisha mpunga!
Sasa kwa hizo Iphone 13 wapo wadada humu mtaani wanazo na wanajiweza kiuchumi ila walishikishwa mafamba na wajanja kwa kuwa wengi hawajui kukakugua specifications kama ulivyo wewe ambaye unatoa cava.

Hajui kitu huyo unaweza jua ni iPhone ipi pia kwa kuangalia Notch size halafu unaingia settings Ku confirm
 
Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.

Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu kama macho matatu.

Haikuwa na password so nikaenda kwenye camera nikiwa nimeshika simu mbili kwa pamoja yaani kulia macho3 kushoto macho2 ya Samsung Note8 nikawa napoint kwenye object 1, aisee Samsung note8 kampiga gepu mbaaali sana huyu iPhone 13.

Najua mtakuja kujitetea ila ukweli ndio huo. Huyu sister ni wakishua hasaa so msije na lame excuses kwamba ni copy maana licha ya kwamba ni wakishua kwao ila hata yeye na mumewe wako vema sana.

Anayebisha siku ajaribu kulinganisha halafu aje na mrejesho.

Majaribio yalifanyika mchana na jua linawaka.

Uzuri hiyo note 8 nimetumia na android nyingi nyingi zikiwemo hizo Samsungu Note series

Sijatumia Google pixel ndo naskia stori ina Camera kali

Turudi kwa Iphone hii ni habari nyingine pamoja na kuwa na upekee unafanya watu waone kama gereza ila huwez kulinganisha note 8 na Iphone 13 hata kwa iphone Xr tu hiyo note 8 haifui dafu
 
Wee jamaa kumbe mshamba sana...Iphone haikaguliwi kwa kuvua cava wewe!
Baada ya kuvua cava uliona inachapa kwamba ni iphone 13?
Halafu kutumia kigezo kwamba huyo yuko vizuri kiuchumi hakuwezi kuprove kwamba atanunua kitu genuine, ishu ana ujuzi wa kutambua kwamba kitu flani ni Og ama la!
Yupo dada mmoja alikuw anahitaji kununua sumsung S9 wakati zinatoka, so kwa sababu hakuwa anazijua kiundani akaingia dukani wakamshikisha famba bila kujua kwa kulipia bei sawa na Og, tukafuatilia aliyemshikisha akarudisha mpunga!
Sasa kwa hizo Iphone 13 wapo wadada humu mtaani wanazo na wanajiweza kiuchumi ila walishikishwa mafamba na wajanja kwa kuwa wengi hawajui kukakugua specifications kama ulivyo wewe ambaye unatoa cava.
Weka picha acha maneno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom