IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

Mtu kama sio mpiga picha huwezi jua simu gani bora. Hakuna mzoefu wa picha utamwambia iPhone 13 inazidiwa na Note 8 akaelewa. Alafu picha zinapigwa na mzoefu wa simu yake, wewe hapo unayeulizwa umejuaje ni iPhone ukasema umevua cover ndio ukajua huwezi nishawishi kuwa hiyo simu unaielewa kuitumia. Ulikuwa unaishangaa tu

Tatizo la iPhone ni low light basi. Nalo linaonekana kwenye comparison ya flagships za same year
 
mhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.

ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.

iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.
 
mhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.

ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.

iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.
Nipeni picha za iPhone za saiviView attachment 2114648
20220210_112656.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom