Hao watu wanataka aitumie simu kama computer za work station. Ndio maana wakisikia simu ina 12GB RAM akili haikai sawa.2yrs ni miaka mingi sana kitechnologia.
ios 13 itakaa mpaka kwenye 6s yenye ram 2gb,ndio maana nikakuuliza 4gb za nini kwa wazee wa customization
jibu simple tu,hakuna ulinganifu kwa wapinzani.Wapi umeshaona apple wanatangaza mambo ya RAM au Battery Life?
Same sheeping bro!kioo kipana kinachong'aa zaidi na nguvu zaidi.
Ukichukua flagship ya samsung na apple za 2017 sasa hivi utastaajabu hiyo tofauti yake kwenye performance.Ikiwa lengo ni kufika tu na utumiaji mzuri wa mafuta, basi achia mbali IST, hata Vespa tutasema ina utumiaji mzuri wa mafuta. Hapa tunachozungumza ni utumiaji wa resources.
Hata tecno unakuta zina specs kubwa ila hazifui dafu kwa iphone 5 tu, kwanini unadhani?
Labda the quality of the battery sio nzuri au may be on the background, the OS is doing something
tunarudi pale pale,kwamba tulianza na ram 512mb.kwanini hatuku stick hapo?Hao watu wanataka aitumie simu kama computer za work station. Ndio maana wakisikia simu ina 12GB RAM akili haikai sawa.
Mbona ukiingia kwenye website yao wameweka habari za Battery life, ila la ram hawashughuliki sana, wao ni processor ndio wanabrag sanaWapi umeshaona apple wanatangaza mambo ya RAM au Battery Life?
sababu ni hizo update napo hamna tofauti ya maana.Ukichukua flagship ya samsung na apple za 2017 sasa hivi utastaajabu hiyo tofauti yake kwenye performance.
Resale value ya iphone imesimama, linganisha iphone ya 2015 na samsung ya huo mwaka sokoni kwenye mauzo.
hawa jamaa ni makondoo sana.
sasa leo 2019 bado una likioo la 720p kweli!!
Smartphones market ipo kwenye saturation.Mkuu kwa hio unataka kusema, kua ni heri pia kwa android zikawa zinapata updates kwa mda mref zaid
Ndio Nokia 8 imepata latest update na Nokia zote mpaka za Bei rahisi zinapata Android P ya mwakani.ni 2 years hadi sasa, tucheki kama watakaa 5 years kama wanavofanya wenye 2Gb rams.
Kwanini Nokia hawakuiacha hio Nokia 8 bado wanaipa update ya software?
Symbian haikuwa open source mpaka leo Nina simu za symbian na zinafanya kazi na naweka apps vizuri tu. Same windows pia sio open source Ila unaweza tumia Windows XP ya zaidi ya miaka 10 iliopita. Hizo Ni policy za Apple tu kufanya simu za zamani zisifanye kazi ili wanunue mpya, Ila siamini Kama feature phone irun WhatsApp na simu Kama iPhone 4 ishindwe.iPhone 4 inakuwa obsolete kwa sababu OS yao sio open source kwamba mtu anaweza akatengeza alternative na ikafanya kazi straight away. Halafu ile status tu ya iOS nayo pia imechangia kufanya kuwa ionekane kuwa sio simu ya pata sote na hivo developers wana expect watu watanunua new iphones na kuacha kutumia za zamani.
Android kila mtu anatia mkono wake, ni muhimu kujiuliza, are you safe with your data?
Mkuu hebu lifukue nitumie link nione hapo nliposema kama Processor na rams hazihusiki kwenye speed. Maana kama nimesema ivo sijui ata nilifikiria kitu gani kinachangia kwenye speed.
unazungumzia simu kuuzwa bei ndogo mkuu??Smartphones market ipo kwenye saturation.
Watu wanaonunua device mpya kila mwaka ni wale wenye uwezo na hobby.
Ndio maana wenye smartphones wanataka update ya new OS kwenye old devices zao.
Kwanini ninunue galaxy s10 wakati s8 inafanya vizuri, nnachohitaji ni updated software.
Apple wameona hilo ndio maana device zake zimeshuka bei atleast wanvutie watu kununua device mpya.
Iphone XR which is mid range phone kwa apple ndio best selling iphone kwa mwaka jana ikizipiku XS na XS Max.
Hii inakwabia nini?
Apple ni mzee wa kutengeneza njia, samsung alikuja na curved display hakuna aliye ishobokea. Apple alipotoa iphone X ikiwa na notch display basi naona ndiyo trend now hata samsung katosa curved display naye ana water drop notch.
na angejichanganya angeharibu sana.Hata Samsung hajashobokea hilo li Notch baya la iphone....Samsung anatumia water drop na V notch mzee...Tena anatumia kwny Midranges zake ambazo ni A series....Flagships S series na Note series anatumia Punc Hole.
Sababu Samsung ana design nzuri zaidi, kwenye low end anatumia water drop notch Ila kwenye high-end walitumia cut out display na quality wise miaka yote wanakuwa na quality nzuri Kushinda iPhone.Kwanini hao Samsung au LG wasitengeneze kwenye simu zao?
Asante. Umeelewa hoja yangu ya kuona 5G kwenye simu bado ni gimmick.Rain south Africa wameshazindua 5G, sema still wapo kwenye rollout. na baadhi ya mitandao Wana mpango huo.
Sema tatizo la 5G Ni Kama Hilo unalosema haina range kubwa hata ikija tegemea maeneo machache Sana kuwa na network mfano katikati ya jiji.
Apple sio kwamba wanadelay kuongeza features kwa sababu simu zao za nyuma zisiachwe. ivi mkuu, bepari hataki ununue bidhaa kwake kila siku? Apple wao wanakwenda na msemo " si lazima uwe wa mwanzo kufanya kitu, muhimu uwe umekifanya vizuri zaid"kama kuna kitu umenote kwa apple,wana delay kuongeza features katika simu zao ili za nyuma zisiachwe.
lakini sasa hawana namna,charange zimekuwa nyingi sana.akizubaa inakula kwake na wateja wake rayal.
pale mtumia tecno anaposikia kuhusu toleo jipya la iPhone😂😂🏃Wanazingua tu. Hawana jipya.
Notch simu ya kwanza Ni sharp, then akafuatia essential then iPhone, so sio Apple aliekuwa wa kwanza. Na display ya iPhone x imetengenezwa na Samsung. Kabla ya Hapo ilikuwa huwezi kupinda, kukunja kukata display kwa technology ya kawaida ya display, then kukatokea breakthrough ya Oled za plastic ndio maana wakaweza kufanya hivyo. Hii breakthrough haifanywi na watengeneza simu Bali watengeneza display Kama kina Samsung, LG, sharp etc Wakina Apple wao wanatoa tu order kutokana na technology ambayo ipo sokoni.
Inategemea na simu mkuu, Nina OnePlus 5T ya 2017 ilikuja na 8GB ram, na Sasa Hivi nipo latest na Android 9 na hio 10 wanatufikiria.
Simu za Nokia zote zitapata Android P mwakani, Nokia 8 ilitoka na Android 7, imepata 8, 9 na 10 na mwakani inapata 11,
Nvidia shield ilitoka na Android 5.1 Kama sijakosea na Sasa Hivi ipo latest na bado hawajasitisha support.
Hizo Ni official updates, ukienda un official mpaka simu Kama Galaxy s2 inaweza run latest update. Mwenzake waliotoka pamoja iPhone 4 Sasa Hivi kawa Nokia ya tochi huwezi eka app yoyote.
Na mkuu usikatae maneno yako kwenye processor na ram Umewahi kusema hivyo vitu havihitajiki niruhusu nifukue makaburi.
Sana tu. Wametuangusha vibaya mno.
Hakuna USB Type C.
Hakuna improved high refresh rate pro motion display.
Hakuna reverse wireless charging.
Hakuna in display fingerprint.
Sasahivi wateja wananunua kwasababu ya eco system na sio kingine.