usijali rafiki tuko kwenye bungeni maandalizi ya uundaji
na uandaji wa KATIBA ya TEAMRAFIKI
ikiwa tayari tutakujuza ondoa shaka
kwani tushampata mwenyekiti wa muda Tized
Ahsante sana mkuu wa Kuanzisha Team Rafiki, namio naomba kujiunga rasmi ili kwa pamoja tuweze kushirikishana katika mambo mbalimbali ya kimaisha na kimaendeleo. Naomba unipe taratibu za kufuata.
Ahsante sana mkuu wa Kuanzisha Team Rafiki, namio naomba kujiunga rasmi ili kwa pamoja tuweze kushirikishana katika mambo mbalimbali ya kimaisha na kimaendeleo. Naomba unipe taratibu za kufuata.