nahisi una matatizo ya kisaikolojia
nisiendelee kupoteza muda wangu
na mtu asiyeeleweka
na hilo limetoka wapi sasa!!
mbona umeulizwa swali kwa picha.. '' ae you lonely''?
sasa hapo kuna tatizo la saikolojia?
kwanza unaijua saikolojia wewe au umemeza tu...! siku nyingine uwaze kabla hujaongea..
good.. sasa ona huyu nae alivyojibu hapa!! sijui kapeleka wapi akili!!she is with her friends
she is with her friends
nahisi una matatizo ya kisaikolojia
nisiendelee kupoteza muda wangu
na mtu asiyeeleweka
usijali tatizo mimi Mndengereko niliekulia mjini najua kindengereko cha kuombea maji tu
Asante miss chagga. Nakupendaga we mdada!
Hahaaaa...mndengereko.com. Wala usijali tupo wengi tu wa kidigitali.
mnaruhusiwa mkuu ila hapa kumbuka tunahimizana kuhusu tabia njema ikiwemo kuepuka kuchepuka coz sio dili,so kama hilo linawezekana karibu kundiniNa sisi watu wa jukwaa la kusini mwa Afrika tutajiungaje?
Halahala isije kuwa jumuia ndogo ndogo mkuu...mnaruhusiwa mkuu ila hapa kumbuka tunahimizana kuhusu tabia njema ikiwemo kuepuka kuchepuka coz sio dili,so kama hilo linawezekana karibu kundini
good.. sasa ona huyu nae alivyojibu hapa!! sijui kapeleka wapi akili!!
hivi wewe uliwaza kwamba nimekutongoza kwa kukuuliza are you lonely??
ulielewa manake au ulikurupuka tu na kuropoka huu ujinga ulioandika??
do you know psychological problems you woman?
aisee dont provoke me again....!!!
sio ishu lakini inabidi tuchukue jitihada za makusudi tujifunze kikwetu,walau kidogo coz ndo asili yetu tukifanya masikhara baada ya miaka mia mbele tunaweza kuzipoteza hizi llugha
i have a dream that is quite simple.
i am good mwallu.. your sis is miss neddy is fine too
ooh nice
nambie kinachojili basi..
mi sina neno wangu... niko tuu nimejilaza mahali nimetulia tuli na mrija wa juice ya ceres
huku ukitafakari hasara za ubazazi si ndio??
very good
sasa mbona unajijibu? hahaaa!!
si kila kitu kina faida na hasara eenh?