Introducing teamrafiki

nilikuwa nishampigia simu dereva taxi anakuja kumchukua kumpeleka anapopataka

we umetoa wapi netiweki kwenye hali hii ya hewa...? mwache Eshy m.s apumzike kidogo aisee!!

muoneshe upendo wa timu rafiki bana!
 
Last edited by a moderator:

pole una bahati ya paka kupendwa na wachawi lol!!

we umetoa wapi netiweki kwenye hali hii ya hewa...? mwache Eshy m.s apumzike kidogo aisee!!

muoneshe upendo wa timu rafiki bana!

netiweki zipo all the time as long as hautumii michina
 
nishawapa go ahead mpaka utakaposalimu amri n kuwa teamrafiki

unasemajeeee?? aisee naona unataka kuchafua hali ya hewa!! huo urafiki unalazimishwa?

kuwa na upendo lazima ujiunge kwenye saccoss ama? hii si willingness ya mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…