Niko Mwanza!
you support this conversation miss neddy??
Aaaka! Mwenyekiti awe na busara, uvumilivu na pia aweze kukabiliana na challenges!
Mashaxizo kosa lake linazungumzika istoshe hahusiani na ubazazi!
...
Nakata rufaa juu ya uwamuzi huo unaomuhukumu Mashaxizo!
mbona wenzio wote wanagoma? mm nasema i must give grants for your survival!
show me your financial books ili nione wapi nianzie!
siwezi kumwaga pesa tuuuuu halafu nisijue wapi zimeenda! you must be mathematical people! msianzishe mkusanyiko wa watu usiokuwa na manufaa!! Mndengereko, Ntuzu, Karucee, Mr Rocky... note this arguement!
it worthes billion dollars!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
miss neddy utajihatarishia maisha ukijibu hovyo!!!Tuambie Excel unamuonaje?
peleka ufadhili wako team bazazi au agent wa #team bazazi (NAM)actually, mbali na ufadhili, ntawaletea miradi mingine mingi tu ili msikae bure vijiweni!!!
timu yenu ni nzuri! ni wazo zuri sana vijana!!! mwaka huu wenu kabisa!!! lazima muinuke kupitia mimi excel...
vigelegele tafadhali....!!!!!!!!!!!
shem karibu kundini nasikia kuna masahibu yamekukuta kidogo na mwenza wako ni kweli?
hilo bin nam ni kundi lako peke yako
Hahahahahahahaaaa!
Kwa msistizo huo itabidi nikubali sasa! lol!
Haya kuwa nasi bega kwa bega katika kuimarisha urafiki wetu, na kupiga vita ubazazi kwenye timu yetu!
...
Be cool!
Pamoja sana!