Introducing ESE Dictionary – “Kamusi”

Introducing ESE Dictionary – “Kamusi”

LORDVILLE pole sana ndugu yangu. Hii ni "unhandled exception" na inatokea pale program inapofeli
kufanya kitu ambacho imeelekezwa kwa mfano ESE Dictionary imeelekezwa kusoma file ambayo
ipo katika location fulani sasa isipolikuta hilo file ndo unapata error kama hiyo.
nashukuru kwa kunielewesha..
ulifanikiwa kutumia ESE Dictionary mwanzoni bila matatizo?
yan ilitokea soon baada ya kuinstall...nlipoweka neno la kwanza la pili ikaanza niletea hiyo error..
hii error inatokea muda gani? pale program inapoanza au katikati ukiwa unatumia
soon baada ya kuanza itumia..
unatumia Windows gani (your system information)
hapa natumia windows 8 enteprise x64 bit..
 
Sorry mkuu Nyasiro, nilibanwa kidogo hapa kati ndo maana nimechelewa kuwasilisha mtazamo wangu.

Nimefanya rough sketch ya metro kidogo

Nitatuma na nyingine zitazoonesha muundo wa sasa ukiwa safi na katika mpangilio.

Okey brother anytime. please pitia na post #41 kuna idea ya Magembe R. Malima tukikombine tutatoa kitu poa

nashukuru kwa kunielewesha..

yan ilitokea soon baada ya kuinstall...nlipoweka neno la kwanza la pili ikaanza niletea hiyo error..

soon baada ya kuanza itumia..

hapa natumia windows 8 enteprise x64 bit..

Ok. Can you do me a favor. Nataka nijue kama kuna file ambalo linamiss fanya hivi

STEP 1: Bonyeza WIN KEY + R then itafunguka Run Window hapo type %appdata% PRESS ENTER

STEP 2:
Itafunguka Windows Explorer angalia humo ndani kama kuna folder linaitwa ED

STEP 3:
Kama hilo folder lipo lifungue halafu ndani yake angalia kama kuna file linaitwa edata

Kama hilo file lipo au halipo nambie

Please nasubiri feedback yako.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyasiro big up kwanza ila kuna maneno mengi sio ya kweli kwa mfano

Neno Down tafsiri kwa kiswahili mmeandika angua,ni kweli down angua? Obstacle ni kizingiti lakini nyie Bar ndio kizingiti rekebisheni hayo makosa otherwise ipo freshi,maneno mengi mmekosea tafsiri zake pitieni upya mkishiriana na TUKI/UDSM.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyasiro big up kwanza ila kuna maneno mengi sio ya kweli kwa mfano

Neno Down tafsiri kwa kiswahili mmeandika angua,ni kweli down angua? Obstacle ni kizingiti lakini nyie Bar ndio kizingiti rekebisheni hayo makosa otherwise ipo freshi,maneno mengi mmekosea tafsiri zake pitieni upya mkishiriana na TUKI/UDSM.

Mkuu, Nyasiro hajaweka neno hata moja. Database ya project imetoka kwingine. Yeye alichofanya ni kuandaa tu software inayorahisisha usomaji wa entries. Maneno yote yameandikwa na kamusiproject.org
 
Mkuu Nyasiro big up kwanza ila kuna maneno mengi sio ya kweli kwa mfano

Neno Down tafsiri kwa kiswahili mmeandika angua,ni kweli down angua? Obstacle ni kizingiti lakini nyie Bar ndio kizingiti rekebisheni hayo makosa otherwise ipo freshi,maneno mengi mmekosea tafsiri zake pitieni upya mkishiriana na TUKI/UDSM.
King Kong III
kuna maneno yenye maana nyingi. Mfano neno "Down" nimeangalia nimekuta limetolewa maana 23 kwa hiyo unapokuwa unaangalia maneno jaribu kuangalia maana nyingine kwa kubonyeza mshale wa kulia/kushoto au kwa kutumia gurudumu la mouse au kwa kutumia keyboard arrow za kulia/kushoto

BTW
Mimi sihusiki na tafsiri yoyote. Mimi nahusika na utendaji kazi wa program hii.

Capture.PNG
 
King Kong III
kuna maneno yenye maana nyingi. Mfano neno "Down" nimeangalia nimekuta limetolewa maana 23 kwa hiyo unapokuwa unaangalia maneno jaribu kuangalia maana nyingine kwa kubonyeza mshale wa kulia/kushoto au kwa kutumia gurudumu la mouse au kwa kutumia keyboard arrow za kulia/kushoto

BTW
Mimi sihusiki na tafsiri yoyote. Mimi nahusika na utendaji kazi wa program hii.

View attachment 129642

Yap mkuu nimekupata nilikuwa napata neno moja baada ya kubonyeza arrow nimeona maana 23 big up mwana ipo njema!
 
Okey...

Karibu sana King Kong III

Kama unakitu ungependa kiongezwe au kipunguzwe tafadhali naomba usisite kunijulisha.
 
Last edited by a moderator:
option ya kucopy na kupest results naomba iongezwe

Usjali C6

Nadhani kwenye mwezi wa pili ntatoa update ambayo itakuwa na mabadiliko makubwa sana. Hope hii ndo itakuwa final version na project hii ndo itakuwa imeishia hapo.

Kitu kikubwa nnachotaka kukikamilisha ni ku display maana zote katika page moja!
 
Last edited by a moderator:
Hope hii ndo itakuwa final version na project hii ndo itakuwa imeishia hapo.
Aisee!
Kuna mtu ana connection na TUKI? Nataka kufanya commercial version ya Dictionary yao!
Sijapata muda wa kwenda pale kama nitapata contact zao za kiofisi itapendeza sana!
 
Stefano Mtangoo,
Wazo zuri sana. Lakini watanzania wamejaa ujanjaujanja hadi kwenye vitu vya msingi. Utashangaa wanakuzungushaaa 😡 mpaka basi.

Hata mimi ningependa sana kufanya kazi na TUKI lakini kuna vikwazo ambavyo naamini kwako haitakuwa ngumu. Kwa mfano uwepo kampuni hii inakuwa rahisi hata kuaminika kuliko kufanya vitu kienyeji.
 
Stefano Mtangoo,
Wazo zuri sana. Lakini watanzania wamejaa ujanjaujanja hadi kwenye vitu vya msingi. Utashangaa wanakuzungushaaa 😡 mpaka basi.

Hata mimi ningependa sana kufanya kazi na TUKI lakini kuna vikwazo ambavyo naamini kwako haitakuwa ngumu. Kwa mfano uwepo kampuni hii inakuwa rahisi hata kuaminika kuliko kufanya vitu kienyeji.
Ngoja nione kama nitapata contact. Kama Kamusi full mtu ananunua kwa mfano 5000Tsh, itarahisisha sana vitu!
 
Ngoja nione kama nitapata contact. Kama Kamusi full mtu ananunua kwa mfano 5000Tsh, itarahisisha sana vitu!

Wasiwasi wangu mwingine upo kwa TUKI. Je hizo kamusi zao wameziweka katika mpangilio gani? Unaweza kuta ipo katika Word Document...

Lakini kama ikiwa organised katika database inakuwa rahisi sana kama kuhesabu 1-2-3
 
Wasiwasi wangu mwingine upo kwa TUKI. Je hizo kamusi zao wameziweka katika mpangilio gani? Unaweza kuta ipo katika Word Document...

Lakini kama ikiwa organised katika database inakuwa rahisi sana kama kuhesabu 1-2-3
Wakiniruhusu nitafanya parsing to database then encrypt the database. Ni kazi rahisi sana kuifanya
na nilisha survery na kuona inawezekana. Nahitaji waniruhusu tu! Only that 🙂
 
Mhhh :wink2: How about this kind of rough parsing

tuki_persing.PNG

Bold --> Dictionary Entry/Word
Italic ----> Word Class
Regular ----> Meaning/Definition
( ) ------> Some note
 
Back
Top Bottom