Magembe R. Malima
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 233
- 214
Hongera Nyasiro,
Sijaikagua sana kwa sasa na ndiyo maana sina cha kusema sana. Niseme tu kuwa napenda fahari ya macho hivyo instinctively huwa najikuta naangalia sana User Interfaces. Kimsingi naona iko poa tu. Labda ingefaa isiwe inaweza kuwa full screen ie window size iwe limited. But kwa flavour zangu may be ingekuwa hivi:
Kazi njema.
NB mimi si programmer huenda hiki nilichofanya "hakiliki." Nisamehewe ikiwa ndivyo.
Sijaikagua sana kwa sasa na ndiyo maana sina cha kusema sana. Niseme tu kuwa napenda fahari ya macho hivyo instinctively huwa najikuta naangalia sana User Interfaces. Kimsingi naona iko poa tu. Labda ingefaa isiwe inaweza kuwa full screen ie window size iwe limited. But kwa flavour zangu may be ingekuwa hivi:
Kazi njema.
NB mimi si programmer huenda hiki nilichofanya "hakiliki." Nisamehewe ikiwa ndivyo.