Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,622
- 8,063
Hapana.sijasoma course hizo.Amina ahsante mkuu, wewe hukuomba?
Hapana.sijasoma course hizo.Amina ahsante mkuu, wewe hukuomba?
Nilisikia kuna watu walikuwa na utata wakaombwa deed poll..ila wakaachiwa wafanyeKwa kigezo kipi ?
Mimi nimefanya interview mara kadhaa bila hiyo deep poll na wala sijasumbuliwa.Nilisikia kuna watu walikuwa na utata wakaombwa deed poll..ila wakaachiwa wafanye
Ulifanikiwa kuajiriwa?Mimi nimefanya interview mara kadhaa bila hiyo deep poll na wala sijasumbuliwa.
Nipo NBSUlifanikiwa kuajiriwa?
Kiongozi. Pepa la statistics lilikuwaje jana TRA?Nipo NBS
Nafikiri wengi walikuwa multiple selectedAdministrative Officer II naona zile nafasi 3 watu waliogopa Kanda ya Kusini walifanya 7 badala ya 63 sijui sehemu zingine 😁
Gumu kidogoKiongozi. Pepa la statistics lilikuwaje jana TRA?
Ok nikuwaachia wao watajuaGumu kidogo
Jepesi kidogo
HakikaOk nikuwaachia wao watajua
Umelaliza kwa upande wako