Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

Mkuu hivi imekaaje kwa wale tusio tumia majina matatu kuwekewa pale katikati ya jina sifuri then ndio jina la mwisho lina fuata..?
Kwa kweli sijui, Nahisi system yao ilitaka majina matatu, so kama una mawili huenda ilikuwa inawakatalia kuendelea na zoezi ndo maana wakawawekea 0
 
Kwa kweli sijui, Nahisi system yao ilitaka majina matatu, so kama una mawili huenda ilikuwa inawakatalia kuendelea na zoezi ndo maana wakawawekea 0
Ni kweli mkuu ila nimesikia haina tatizo kwenye usahili ikiwa mtu amekidhi vigezo vya kazi husika ndomana system ina muweka mwenye majina hayo mawili kama hivyo kwenye Short list yao.
 
Nimeipitia hiyo PDF nimegundua kweli ajira ni changamoto kubwa sana kwa Taifa.

Imagine kitengo cha Tax manager kuna watu walioitwa kwenye interviews roughly 6000 halafu katika hao wanaohitajika sidhani kama wanafika hata 30.

Mfano HR peke yake imekusanya watu 5656 ambao wameitwa kwenye usahili. Hii ni sawa na jumla ya idadi ya wanafunzi wa chuo kizima cha MUST.

Hii listi ni ndefu mno na inaweza kukatisha tamaa watu wengi.

Kufanya mchujo kwa idadi hiyo ya watu kupitia interviews ya kuandika uje uwapate hao 30 ambao wanahitajika sioni kama ni jambo rahisi.

Walau kitengo cha Boat technician ndio nimeona kina watu wachache 36 napo hapo sijui wanaohitajika ni wangapi ila at least chance inaonekana.

Muhimu ni kwenda tu kwenye interviews ukiwa umejiandaa huwenda dusko likakuangukia huwezi jua.
Kupotezeana muda na ubabaishaji mwingi. Haingii akili nafasi 30 uite watu 6000 kwenye interview. Wangeita hata watu 150 au 200 tungewaelewa
 
Nimeipitia hiyo PDF nimegundua kweli ajira ni changamoto kubwa sana kwa Taifa.

Imagine kitengo cha Tax manager kuna watu walioitwa kwenye interviews roughly 6000 halafu katika hao wanaohitajika sidhani kama wanafika hata 30.

Mfano HR peke yake imekusanya watu 5656 ambao wameitwa kwenye usahili. Hii ni sawa na jumla ya idadi ya wanafunzi wa chuo kizima cha MUST.

Hii listi ni ndefu mno na inaweza kukatisha tamaa watu wengi.

Kufanya mchujo kwa idadi hiyo ya watu kupitia interviews ya kuandika uje uwapate hao 30 ambao wanahitajika sioni kama ni jambo rahisi.

Walau kitengo cha Boat technician ndio nimeona kina watu wachache 36 napo hapo sijui wanaohitajika ni wangapi ila at least chance inaonekana.

Muhimu ni kwenda tu kwenye interviews ukiwa umejiandaa huwenda dusko likakuangukia huwezi jua.
Sio sahihi, kuna watu wame apply zaidi ya mara moja pia wengi tu hapo wameajiriwa ila wanataka either kupata serikalini au wengine wanataka uhamisho kutoka sekta moja serikalini kwenda nyingine.
 
Kuna ambao majina yametoka kwenye Position zaidi ya Moja...sasa sijui unaruhusiwa kufanya sehemu zote?
 
Nimeipitia hiyo PDF nimegundua kweli ajira ni changamoto kubwa sana kwa Taifa.

Imagine kitengo cha Tax manager kuna watu walioitwa kwenye interviews roughly 6000 halafu katika hao wanaohitajika sidhani kama wanafika hata 30.

Mfano HR peke yake imekusanya watu 5656 ambao wameitwa kwenye usahili. Hii ni sawa na jumla ya idadi ya wanafunzi wa chuo kizima cha MUST.

Hii listi ni ndefu mno na inaweza kukatisha tamaa watu wengi.

Kufanya mchujo kwa idadi hiyo ya watu kupitia interviews ya kuandika uje uwapate hao 30 ambao wanahitajika sioni kama ni jambo rahisi.

Walau kitengo cha Boat technician ndio nimeona kina watu wachache 36 napo hapo sijui wanaohitajika ni wangapi ila at least chance inaonekana.

Muhimu ni kwenda tu kwenye interviews ukiwa umejiandaa huwenda dusko likakuangukia huwezi jua.
Kwa anaejua maswali ya boat technical yanakuaje kweny written interview msaada jaman
 
Kuna ambao majina yametoka kwenye Position zaidi ya Moja...sasa sijui unaruhusiwa kufanya sehemu zote?
Msaidieni huyu kijana, anauliza mtu mwenye majina yafuatayo
1. Kasukali Mtani Jembe
Na
2. Kasukali M Jembe

Ana haja ya kuwa na affidavit ili kuonesha ni mtu mmoja?
 
Nimeipitia hiyo PDF nimegundua kweli ajira ni changamoto kubwa sana kwa Taifa.

Imagine kitengo cha Tax manager kuna watu walioitwa kwenye interviews roughly 6000 halafu katika hao wanaohitajika sidhani kama wanafika hata 30.

Mfano HR peke yake imekusanya watu 5656 ambao wameitwa kwenye usahili. Hii ni sawa na jumla ya idadi ya wanafunzi wa chuo kizima cha MUST.

Hii listi ni ndefu mno na inaweza kukatisha tamaa watu wengi.

Kufanya mchujo kwa idadi hiyo ya watu kupitia interviews ya kuandika uje uwapate hao 30 ambao wanahitajika sioni kama ni jambo rahisi.

Walau kitengo cha Boat technician ndio nimeona kina watu wachache 36 napo hapo sijui wanaohitajika ni wangapi ila at least chance inaonekana.

Muhimu ni kwenda tu kwenye interviews ukiwa umejiandaa huwenda dusko likakuangukia huwezi jua.
Na hapo kuna wengine hawakuomba bado ilo nyomi
 
Back
Top Bottom