Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

Kanye2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
3,019
Reaction score
3,192
Salaam!!!!

Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali zilizotolewa na TRA, Majina yametoka Kwa ajili ya Interview.

List ya Majina ipo kwenye PDF hapo Chini. (Mb 11.4)


Shukran.

Pia unaweza pitia Uzi huu hapa Chini Kwa link ya Magroup ya kujisomea.

 

Attachments

Salaam!!!!

Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali zilizotolewa na TRA, Majina yametoka Kwa ajili ya Interview.

List ya Majina ipo kwenye PDF hapo Chini. (Mb 11.4)


Shukran.

Pia unaweza pitia Uzi huu hapa Chini Kwa link ya Magroup ya kujisomea.

Mkuu hivi imekaaje kwa wale tusio tumia majina matatu kuwekewa pale katikati ya jina sifuri then ndio jina la mwisho lina fuata..?
 
Nimeipitia hiyo PDF nimegundua kweli ajira ni changamoto kubwa sana kwa Taifa.

Imagine kitengo cha Tax manager kuna watu walioitwa kwenye interviews roughly 6000 halafu katika hao wanaohitajika sidhani kama wanafika hata 30.

Mfano HR peke yake imekusanya watu 5656 ambao wameitwa kwenye usahili. Hii ni sawa na jumla ya idadi ya wanafunzi wa chuo kizima cha MUST.

Hii listi ni ndefu mno na inaweza kukatisha tamaa watu wengi.

Kufanya mchujo kwa idadi hiyo ya watu kupitia interviews ya kuandika uje uwapate hao 30 ambao wanahitajika sioni kama ni jambo rahisi.

Walau kitengo cha Boat technician ndio nimeona kina watu wachache 36 napo hapo sijui wanaohitajika ni wangapi ila at least chance inaonekana.

Muhimu ni kwenda tu kwenye interviews ukiwa umejiandaa huwenda dusko likakuangukia huwezi jua.
 
Kapambaneni vijana, msikate tamaa...Nina uhakika Kwa idadi hiyo Kuna watu wengi hawatoenda, Kuna watu wengi wataliwa vichwa kwasababu ya maandalizi, nimeona hapo kuwa usaili ni kama siku sita au Saba mbele just imagine sijui utasoma namna gani Ili kucover hizo topics...Nadhani wale walioanza kusoma ile siku tu ajira zilipotangazwa wana nafasi nzuri ya kupata na wale wa connection watapata na wale vipanga haswa pia watapata. Yote Kwa yote aminini kuwa Kila mmoja ana nafasi, just believe. Nawatakieni maandalizi mema.
 
Back
Top Bottom