Interview BOT: Msaada Aptitude Test

Inategemea ni kada ipi umeitiwa,uhandisi,biashara nk.
Na pale huwa kunakuwa na interview mbili,
Huwa Kuna mapocho pocho kibao,korosho,kahawa,kuku kidogo,kipindi hicho hata nauli unarudishiwa kama umetoka mkoani.
Hii chai😅😅😅😅
 
Uongo ndio
Hamn mkuu kuhusu msosi ni kweli, tulipiga chai asubuhi kabla ya paper na tulivopiga paper tukapiga msosi heavy kushushia maumivu then unatok unasepa, ila kuhusu issue ya nauli ndo sijui mkuu.
 
Hamn mkuu kuhusu msosi ni kweli, tulipiga chai asubuhi kabla ya paper na tulivopiga paper tukapiga msosi heavy kushushia maumivu then unatok unasepa, ila kuhusu issue ya nauli ndo sijui mkuu.
Si useme tu kuhusu nauli hamna kitu kama icho
 
Hamn mkuu kuhusu msosi ni kweli, tulipiga chai asubuhi kabla ya paper na tulivopiga paper tukapiga msosi heavy kushushia maumivu then unatok unasepa, ila kuhusu issue ya nauli ndo sijui mkuu.
mkuu hao walikuwa wanalaunch bank au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom