Bado hawajaita. Endelea kuvumilia. Giza likizidi mwanga unakaribia. Tarehe 9 usizime simu.
Sindo leo au tarehe tisa ya January
Bado hawajaita. Endelea kuvumilia. Giza likizidi mwanga unakaribia. Tarehe 9 usizime simu.
Bado hawajaita. Endelea kuvumilia. Giza likizidi mwanga unakaribia. Tarehe 9 usizime simu.
Tangu tarehe 9 BOT wanapiga simu kuita Usaili #21/12/2021Bado sana itachuku muda kidogo
Yes serious. Am sure coz mdogo wangu amepigiwa simu. Kama Kuna mtu mwenye mkeka auweke watu wajue hata idadi ya washindani.Duh? Serious?
Tangu tarehe 9 BOT wanapiga simu kuita Usaili #21/12/2021

Tarehe ngapi?na hizo ni kwa nafasi IPI?Wengine wamepigiwa simu interview ni january 2022 so kua mpole mkuu wanapiga simu taratibu taratibu
Nachojua kuna watu wameitwa Jan 9, ila huwez jua wangapi sababu hawajapublish ndo maana nikauliza kwa mfano kuna post 5 wanawez ita wangapi.Tarehe ngapi?na hizo ni kwa nafasi IPI?
Ukipata jibu ni tagHumu kimya jaman wale wa BOT walisha itwa makazini nn wengine tulishwa chinjwa
Ukipata jibu ni tag
Humu kimya jaman wale wa BOT walisha itwa makazini nn wengine tulishwa chinjwa
Kuna watu wameenda hadi practical na sio watoto wa vigogo
Kuna watu wameenda hadi practical na sio watoto wa vigogo
Practical kwa maana gani mkuu