BOT ni miongoni mwa independent Organ kwenye Nchi hii mambo za kubebana hazitokei Sana.
Halafu kama Mtu ni kigogo kwenye taasisi kama hiyo hawezi subiri mpaka nafasi zitoke ndo aanze kuhaha kumuweka mwanae. Atamuweka kimya kimya.. Pia mara nyingi nafasi huwa zinaongezeka kama Kuna bosi mkubwa ana mtu wake ambae anategemea reference ya Bosi huyo.
Mwisho kabisa. Let's Close the Case Mchakato umeisha walioitwa Oral hongera zenu. Tuliobaki tujipange kwa zijazo.
Watu wako training nyinyi bado mnapiga mayowe.
Hii Comment iwe ya Mwisho. Bye bye.
Halafu kama Mtu ni kigogo kwenye taasisi kama hiyo hawezi subiri mpaka nafasi zitoke ndo aanze kuhaha kumuweka mwanae. Atamuweka kimya kimya.. Pia mara nyingi nafasi huwa zinaongezeka kama Kuna bosi mkubwa ana mtu wake ambae anategemea reference ya Bosi huyo.
Mwisho kabisa. Let's Close the Case Mchakato umeisha walioitwa Oral hongera zenu. Tuliobaki tujipange kwa zijazo.
Watu wako training nyinyi bado mnapiga mayowe.
Hii Comment iwe ya Mwisho. Bye bye.