Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 605
Practical kwa maana gani mkuu
Kwa kazi za technologies lazima kuwe na practical
Practical kwa maana gani mkuu
Umenena ukweli Vigogo hawawezi kusubir michakato ya usahili kamwe huwa wanaingizwa kimya kimya na hii ni maeneo yoteBOT ni miongoni mwa independent Organ kwenye Nchi hii mambo za kubebana hazitokei Sana.
Halafu kama Mtu ni kigogo kwenye taasisi kama hiyo hawezi subiri mpaka nafasi zitoke ndo aanze kuhaha kumuweka mwanae. Atamuweka kimya kimya.. Pia mara nyingi nafasi huwa zinaongezeka kama Kuna bosi mkubwa ana mtu wake ambae anategemea reference ya Bosi huyo.
Mwisho kabisa. Let's Close the Case Mchakato umeisha walioitwa Oral hongera zenu. Tuliobaki tujipange kwa zijazo.
Watu wako training nyinyi bado mnapiga mayowe.
Hii Comment iwe ya Mwisho. Bye bye.
Mbona mchakato wa awali ulikuwa open sasa inakuaje mchakato wa practical na oral kuwa wa siri siri hapo hamna kitu zaid ya kubebana tuBOT ni miongoni mwa independent Organ kwenye Nchi hii mambo za kubebana hazitokei Sana.
Halafu kama Mtu ni kigogo kwenye taasisi kama hiyo hawezi subiri mpaka nafasi zitoke ndo aanze kuhaha kumuweka mwanae. Atamuweka kimya kimya.. Pia mara nyingi nafasi huwa zinaongezeka kama Kuna bosi mkubwa ana mtu wake ambae anategemea reference ya Bosi huyo.
Mwisho kabisa. Let's Close the Case Mchakato umeisha walioitwa Oral hongera zenu. Tuliobaki tujipange kwa zijazo.
Watu wako training nyinyi bado mnapiga mayowe.
Hii Comment iwe ya Mwisho. Bye bye.
Shortlisted for the Oral walipigiwa simu mkuu haiwezi kuwa ya siri kama waliitwa kwa njia ya simu.Mbona mchakato wa awali ulikuwa open sasa inakuaje mchakato wa practical na oral kuwa wa siri siri hapo hamna kitu zaid ya kubebana tu
FATALITY.BOT ni miongoni mwa independent Organ kwenye Nchi hii mambo za kubebana hazitokei Sana.
Halafu kama Mtu ni kigogo kwenye taasisi kama hiyo hawezi subiri mpaka nafasi zitoke ndo aanze kuhaha kumuweka mwanae. Atamuweka kimya kimya.. Pia mara nyingi nafasi huwa zinaongezeka kama Kuna bosi mkubwa ana mtu wake ambae anategemea reference ya Bosi huyo.
Mwisho kabisa. Let's Close the Case Mchakato umeisha walioitwa Oral hongera zenu. Tuliobaki tujipange kwa zijazo.
Watu wako training nyinyi bado mnapiga mayowe.
Hii Comment iwe ya Mwisho. Bye bye.
Watakuwa wanamkatia pakubwa sana aseeeKaula sio padogo
Samahani, japo ni muda mrefu umepita, naomba kujua ulipoenda kufanya written interview kwa maana ya aptitude test, waliuliza maswali gani hasa? Moo Click .Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Kweli hii taasisi haina upendeleo,nami wameniita ,if you know you know.Mkuu umeitwa interview?
Kweli hii taasisi haina upendeleo,nami wameniita ,if you know you know.
Ndio nimepigiwa simu,sio leo lakin,hapa nakula madesa nikakipige soon.Umepigiwa Simu mkuu? Umeitwa Leo ?
Ndio nimepigiwa simu,sio leo lakin,hapa nakula madesa nikakipige soon.
Amina mkuu na Asante sana 🙏Mungu akutangulie. Kila la kheri
Zilitoka ndo ukaomba? Au uliwatumia CV Yako tuNdio nimepigiwa simu,sio leo lakin,hapa nakula madesa nikakipige soon.
Walitangaza,nikaomba ,kwa cv ,barua na vyeti,ili nitoke local govt 🤣Zilitoka ndo ukaomba? Au uliwatumia CV Yako tu
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app