cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
wapendwa!! Embu tuwe serious kidogo hapa... hatuwezi kupata namna ya kupata free internet...i have been reading, n still reading on how to get a free access to internet...Nigeria, South Africa, Kenya watu wana bofya bofya buure, sisi tu
India per month unlimited internet with a fast speed unachajiwa dola 2 tu...sasa Tz, kutokana na gharama bado ipo juu....Kuna mtu anaweza akatupa namna ya kuchakachua...Modem tumeweza, net ssa??
India per month unlimited internet with a fast speed unachajiwa dola 2 tu...sasa Tz, kutokana na gharama bado ipo juu....Kuna mtu anaweza akatupa namna ya kuchakachua...Modem tumeweza, net ssa??