International Friendly - Namibia vs Tanzania

International Friendly - Namibia vs Tanzania

Mpira dakika 90 yani we kabla ya dakika ushafungulia topic!

Team yenyewe imechaguliwa na TFF mnategemea ifanye vizuri!!
 
Wakuu Tanzania alishinda au droo.... hapa jf naona droo ila kweny mitandao kama goal.com inaonesha Tanzania ameshinda gol moja.. "Full
time Namibia 0 - 1 Tanzania" source goal.co.
 
Ilipoingia dakika ya 85 Stars baada ya
kuona mambo bado mazito wakafanya
mabadiliko mengine akatoka
Ramadhan Singano na kuingia Athanas
Mdamu.
Mpaka hapo ilikuwa bado bila bila.
Ndipo dakika ya 87 kona kwenye lango
la Namibia ilizaa goli la Stars la
kuongoza,mfungaji akiwa Khamis
Mcha.
Ikiwa na atumaini ya kumaliza mchezo
na ushindi hamadi ndani ya dakika za
lala salama Namibia wakasawazisha
na mchezo ukamalizika kwa sare ya
1-1.
 
Wakuu Tanzania alishinda au droo.... hapa jf naona droo ila kweny mitandao kama goal.com inaonesha Tanzania ameshinda gol moja.. "Full
time Namibia 0 - 1 Tanzania" source goal.co.

Full time matokeo ni:

Namibia 1 - 1 Tanzania

Angalia hapo awali kuna post niliweka hadi majina ya wafungaji, hao goal.com wamekosea kwa mechi hizi za kimataifa zilizo chini ya FIFA ni vyema matokeo ukayafuatilia kupitia mtandao wa FIFA.

Cheki hii link hapa chini kwa usahihi zaidi wa matokeo ya mechi hii:

World Match Centre: Friendly matches - FIFA.com
 
Ilipoingia dakika ya 85 Stars baada ya
kuona mambo bado mazito wakafanya
mabadiliko mengine akatoka
Ramadhan Singano na kuingia Athanas
Mdamu.
Mpaka hapo ilikuwa bado bila bila.
Ndipo dakika ya 87 kona kwenye lango
la Namibia ilizaa goli la Stars la
kuongoza,mfungaji akiwa Khamis
Mcha.
Ikiwa na atumaini ya kumaliza mchezo
na ushindi hamadi ndani ya dakika za
lala salama Namibia wakasawazisha
na mchezo ukamalizika kwa sare ya
1-1.
 
Yaani hata Namibia wanatushinda?

Huwezi kutarajia matokeo ya maana kwa timu ambayo wachezaji ni wapya na imekaa kambini siku moja tu...

Tena hapa nahisi wamejitahidi au Namibia haikuwa timu nzuri sana...
 
Niliwahi kusema awali kuwa huu mchezo umeangukia kati kati ya kalenda ya champion league ya Afrika,complications ni nyingi kwenye kuunganisha ndege. By the way Masuke mbona huulizi kuhusu mwinyi kazimoto?
Kwa hiyo hata wachezaji wa Yanga walivyoondolewa kwenye timu ya Taifa sababu ni tatizo la kuunganisha ndege au sababu ya mechi ya Al-Ahly?

Kuhusu Mwinyi Kazimoto sijui labda ameogopa yaliyompata Kapombe natania tu lakini.
 
Kaka nyanya mbichi kama ulibahatika kudhuhudia mtanange huo je ni timu gani ilionyesha mchezo mzuri timu ipi ilielemewa na unatoa ball % ngapi kwa kipindi cha kwanza na kipindi cha pili
 
Kwa hii sare kuna uwezekano mkubwa wa kutuporomosha katika ranking za FIFA. Namibia wako nafasi ya 124 na sisi nafasi ya 116 ikionesha kuwa sisi ni bora kuliko wao. Kwa matokeo haya inawezekana tukaporomoka nafasi kadhaa kuwafuata na wao wakapanda nafasi kadhaa kutufuata mwisho tutakutana somewhere chini ya 116 na juu ya 124.
 
huwa sitegemei chochote kutoka timu yangu ya taifa
 
Mi huwa natamani kama vile tungeiteua 1 ya team nzuri kwenye nchi kuliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya kimataifa...kwa case ya Tanzania kwa sasa hv kama team ya Wananchi ingepewa jukumu hilo ninauhakika nchi ingekwea nafac kadhaa katika ranks za Fifa
 
Mkuu huenda pia tusishuke maana timu nyingi nzuri zimefanya vibaya haswa za ukanda wa Afrika...

Matokeo ya namna hiyo huwa walau yanatoa ahueni kwa waburuza mkia kama wakina sisi...

Kwa hii sare kuna uwezekano mkubwa wa kutuporomosha katika ranking za FIFA. Namibia wako nafasi ya 124 na sisi nafasi ya 116 ikionesha kuwa sisi ni bora kuliko wao. Kwa matokeo haya inawezekana tukaporomoka nafasi kadhaa kuwafuata na wao wakapanda nafasi kadhaa kutufuata mwisho tutakutana somewhere chini ya 116 na juu ya 124.
 
Mi huwa natamani kama vile tungeiteua 1 ya team nzuri kwenye nchi kuliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya kimataifa...kwa case ya Tanzania kwa sasa hv kama team ya Wananchi ingepewa jukumu hilo ninauhakika nchi ingekwea nafac kadhaa katika ranks za Fifa
Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Didier Kavumbagu na Emmanuel Okwi wote ndani kuiweka Tanzania kwenye nafasi nzuri katika rank za FIFA.
 
Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Didier Kavumbagu na Emmanuel Okwi wote ndani kuiweka Tanzania kwenye nafasi nzuri katika rank za FIFA.

Naijua team yangu Kaka...kuna mbadala wa wote hao..
Mbuyu Twite for Juma Abdul,Haruna Niyonzima for Hassan Dilunga,Hamis Kiiza for Said Bahanuzi na Didier Kavumbagu for Hussein Javu....uchofie baadhi kuonekana kuwa hawana nafac kwenye kikoc cha kwanza cha team ya Wananchi hata Aishi Manula alikuwa anaitwa wkt hakuwa na namba kwenye kikoc cha kwanza cha Club yake,amini tu Mkuu kuwa hii team ya Wananchi inge'perform kuliko hii kombania yetu
 
Naijua team yangu Kaka...kuna mbadala wa wote hao..
Mbuyu Twite for Juma Abdul,Haruna Niyonzima for Hassan Dilunga,Hamis Kiiza for Said Bahanuzi na Didier Kavumbagu for Hussein Javu....uchofie baadhi kuonekana kuwa hawana nafac kwenye kikoc cha kwanza cha team ya Wananchi hata Aishi Manula alikuwa anaitwa wkt hakuwa na namba kwenye kikoc cha kwanza cha Club yake,amini tu Mkuu kuwa hii team ya Wananchi inge'perform kuliko hii kombania yetu

Mkuu wewe nafahamu vile ambavyo usivyopenda wachezaji ambao sio wa Yanga kuchezea timu ya Taifa, nakumbuka jinsi ulivyokuwa unapinga kwa Frank Domayo na Simon Msuva kuitwa timu ya Taifa kabla hawasajiliwa Yanga, sijui hadi sasa una msimamo ule ule au kwa sababu walihamia Yanga sasa ni sawa kuwa timu ya Taifa?
 
Back
Top Bottom