Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Mkuu wewe nafahamu vile ambavyo usivyopenda wachezaji ambao sio wa Yanga kuchezea timu ya Taifa, nakumbuka jinsi ulivyokuwa unapinga kwa Frank Domayo na Simon Msuva kuitwa timu ya Taifa kabla hawasajiliwa Yanga, sijui hadi sasa una msimamo ule ule au kwa sababu walihamia Yanga sasa ni sawa kuwa timu ya Taifa?
Unajua Kaka mm ni mfuac mkubwa wa BRN (big results now) sasa by tht tym Msuva na Domayo walikuwa wachanga sn..ndo kwanza walikuwa wamechukuliwa kutoka ile under 20 kwakweli nikiri tu kuwa nilipinga lkn kupinga kwangu hakukutokana na kuwa walikuwa hawajasajiliwa na Yanga bali ilikuwa ni kwa ugeni wao na kukosa udhoefu kwenye mashindano ya kimataifa ni kama vile nilivyokuwa napinga kipindi kile Maximo akizunguka tu na Tegete ambaye alikuwa ashasajiliwa na Yanga,ni vile tu kautaratibu hako haki'apply Dunia nzima lkn team hii ya Wananchi ya kipindi hiki ingeweza kutupa BRN nzuri,iko vizuri sn