Ukijenga nyumba ya zaidi ya million mia 200 fanya haya.

Ukijenga nyumba ya zaidi ya million mia 200 fanya haya.

Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200.
Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi.

Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto.

Sio nyumba inakuwa ya gharama afu Iko ovyo. Haipendezi.
Safi ,nyumba inakuwa kama HOTEL.
 
Hakuna mtu asityependa mambo mazuri.

Shida iliyopo ni hizo "kampuni" kuja na bei/gharama kubwa kupita kiasi.

Pitia kwenye pages zao utaona jinsi wanavyo-overprice.

Nyumba ambayo ningejenga mwenyewe kwa gharama ya tsh milioni 50,kampuni ya ujenzi wanakuambia milioni 120 hadi inakamilika.

Ukiona wamepost Nyumba ya milioni 200 jinsi ilivyo ya kawaida hadi unashangaza kwamba milioni 200 ndiyo imekosa thamani kiasi hiki?

Mimi nadhani kwa habari ya kuwapa kampuni wakujengee tuwaachie mafisadi na watakatisha Fedha ila kama umeitolea jasho kuipata milioni 200 ni Bora ukomae na mafundi mwenyewe mwanzo mwisho unapata nyumba Kali sana.

Hao hawana tofauti na wauza nyumba Goba kwa bilionj 1.5 hakuna uhalisia.
 
mwewe sasa una million 200 unashindwaje kujenga nyumba standard mwanawane.....
 
Ngoja nimalize yangu, nitawaletea humu kazi nzuri. Hakuna cha kampuni wala nini, mafundi wote wametoka humu. Kila hatua na fundi wake, boma ametoka humu mpaka leo hatuajuani, kupaua katoka humu, plasta ndio nimemtoa Insta.
 
Back
Top Bottom