Intellect over emotions or emotions over intellect?

Intellect over emotions or emotions over intellect?

Hata mimi niliyeishia fom tuu nimeelewa kwamba, kama anaweza kuongezewa muhula mwingine wa miaka mitano basi pia anaweza asiongezewe.

Sasa sijui kigumu kueleweka hapo ni kipi hasa?
Hiyo ya miaka 5 iko ibara ya ngapi?! Maana naitafuta siioni!
 
Sasa mkubwa, hapo si wangeweka tu kwamba ahudumu mihula miwili au mmoja wenye miaka 10?

Tukubaliane tu kwamba imezoeleka hawa CAGs kustaafu wakiwa kwenye nyadhifa zao. Lakini kusema katiba imevunjwa, hapana.
What if ilimaanisha kuwa anaweza akafikisha miaka 60 kabla ya muhula wake wa pili?!
 
Katiba nilonayo ya kingereza inasema 60 years
Sijajua ni toleo tofauti nimesoma? La kiingereza linasema ni 65 yaani sixty five na kwenye kiswahili ndio 60.

Vile vile tuzingatie neno reappointment! Kwenye hiyo katiba.
 
Angalia mtiririko wa document hizo kwa rejea
IMG_20191104_081318.jpeg
IMG_20191104_081321.jpeg
IMG_20191104_081323.jpeg
 
Katiba inasema "na anaweza kuongezewa" au inasema "na ataongezewa"? Kuna tofauti kubwa sana kama mteuaji anapewa uhuru wa kuamua kumuongezea muda au la.

Kwenye katiba inasema "shall be eligible for renewal" na haisemi "may be eligible for renewal", hivi ni vitu viwili tofauti sana. The former implies renewal must be done and the latter implies its optional or not to renew.

If we are to debate intelligently without emotions, it's clear the office of the President is on the wrong here.

nyabhingi Nyani Ngabu
Kuwa eligible ni kuwa una haki au vigezo vya kupata kitu ila haina maana LAZIMA upewe. Mfano Rais baada ya miaka mitano ana haki ya kuwa rais kwa miaka mingine mitano ila SIO LAZIMA kupewa hio miaka mitano.
 
Mahaba humfanya mtu kuwa kipofu
Baada ya kumaliza kuangalia UFC 244 jana usiku, Masvidal vs Diaz for the BMF belt, nikahamia DAZN kuangalia Canelo Alvarez vs Sergei Kovalev.

Hakika jana Jumamosi ya jana ilikuwa siku bomba sana kwa sisi wapenzi wa combat sports.

So you can imagine. I slept late. But thanks to falling back an hour, I got an extra hour of sleep. I woke up kinda late.

Baada ya kuingia JF, nakutana na mada kadhaa za Rais Magufuli kuvunja katiba.

Madai ni kwamba kavunja katiba kwa kumteua CAG mwingine.

Yule aliyekuwepo kamaliza kipindi cha miaka mitano.

Rais kaamua kwenda na mtu mwingine.

Sasa wale anti-Magufuli brigade wamepatwa na hysteria.

Eti Rais Magufuli kavunja katiba.

Unajua bana, saa ingine ukiwa unamchukia sana mtu, hiyo chuki yako ni kama ina-suspend uwezo wako wa kutafakari.

Chuki ni hisia kali. Hisia kali huathiri uwezo wa mtu wa kufikiri kwa mantiki na kiakili.

Ndo hii overreaction ninayoiona hapa.

Guys, intellect over emotions, please.

And for good measure, humility over hubris.

Thank you very much.

Happy Sunday everyone.
 
Hiyo maana yake ni kwamba kama una sifa zinazotakiwa au hitajika, unaweza kuteuliwa.

Hilo neno halimaanishi tu kwamba anayepaswa kuteuliwa ni huyo aliyepo kwenye hiyo nafasi.
Ndo mana nasema huna unachojua kwenye huu mjadala
 
Actually sheria iliyopitishwa na bunge inasema ni 65yrs na sio 60
Katiba inaandika kuwa ni lazima aendelee kwa kipindi cha pili na baada ya hapo hataendelea tena na iwapo atafikisha miaka 60 ndani ya hicho kipindi atastaafu...Assad hajafikisha 60
 
CAG kawa terminated
Kasome vizuri ibara ya 144 ya katiba
Wanasheria mtuongize ktk hili Ni kweli kavunja katiba au muda wake uliishapita.Hoja Ni je kulikuwa na umuhimu wa kumteua mwingine wakati aliyekuwapo angewezapewa mkataba mwingine na je aliyeteuliwa alikuwa amepwaya!
 
.

Guys, intellect over emotions, please.
I'm failing to see what makes you think you are different than the rest of us...wewe hapa kwa Mapenzi yako kwa Magufuli unafikiri unaongozwa na INTELLECT or EMOTIONS? Obviously ni EMOTIONS, for you never ever see his EVILS, and STUPID blunders!
 
I'm failing to see what makes you think you are different than the rest of us...wewe hapa kwa Mapenzi yako kwa Magufuli unafikiri unaongozwa na INTELLECT or EMOTIONS? Obviously ni EMOTIONS, for you never ever see his EVILS, and STUPID blunders!

I have criticized Magufuli a lot. FACT.

Unabisha?
 
Neno shall kwenye katiba linalazimisha appointment muhula wa pili
"Shall" inahusu " eligibility" na sio kuteuliwa tena. Kwamba "automatically" anakidhi vigezo vya kuteuliwa tena kuwa CAG lakini SI lazima ateuliwe.
 
Baada ya kumaliza kuangalia UFC 244 jana usiku, Masvidal vs Diaz for the BMF belt, nikahamia DAZN kuangalia Canelo Alvarez vs Sergei Kovalev.

Hakika jana Jumamosi ya jana ilikuwa siku bomba sana kwa sisi wapenzi wa combat sports.

So you can imagine. I slept late. But thanks to falling back an hour, I got an extra hour of sleep. I woke up kinda late.

Baada ya kuingia JF, nakutana na mada kadhaa za Rais Magufuli kuvunja katiba.

Madai ni kwamba kavunja katiba kwa kumteua CAG mwingine.

Yule aliyekuwepo kamaliza kipindi cha miaka mitano.

Rais kaamua kwenda na mtu mwingine.

Sasa wale anti-Magufuli brigade wamepatwa na hysteria.

Eti Rais Magufuli kavunja katiba.

Unajua bana, saa ingine ukiwa unamchukia sana mtu, hiyo chuki yako ni kama ina-suspend uwezo wako wa kutafakari.

Chuki ni hisia kali. Hisia kali huathiri uwezo wa mtu wa kufikiri kwa mantiki na kiakili.

Ndo hii overreaction ninayoiona hapa.

Guys, intellect over emotions, please.

And for good measure, humility over hubris.

Thank you very much.

Happy Sunday everyone.
Intellect over emotions.

Magufuli kavunja vifungu vya katiba vinavyomtaka aunde jopo la uchunguzi ili kumtoa CAG.
 
Intellect over emotions.

Magufuli kavunja vifungu vya katiba vinavyomtaka aunde jopo la uchunguzi ili kumtoa CAG.

Well, let Assad go to court then. He has that recourse.

I’d like to see it properly adjudicated there rather than here where everybody has their opinion influenced by something and we seem to make a lot of assumptions.
 
Well, let Assad go to court then. He has that recourse.

I’d like to see it properly adjudicated there rather than here where everybody has their opinion influenced by something and we seem to make a lot of assumptions.
Whose courts? Which courts?

The same ones that Magufuli dictates to?

Do logic, justice and truth need legal proclamations?

If logic is deemed illogical by a corrupt court, will that proclamation turn that logic to illogic?

Does a lie become the truth because the courts said so?

Were the injustices of apartheid South Africa just, because the South African courts deemed them the law of the land?

What about Jim Crow laws?
 
Whose courts? Which courts?

The same ones that Magufuli dictates to?

Do logic, justice and truth need legal proclamations?

If logic is deemed illogical by a corrupt court, will that proclamatiin turn that logic to illogic?

Does a lie become the truth because the courts said so?

Were the injustices of apartheid South Africa just, because the South African courts deemed them the law of the land?

What about Jim Crow laws?

In Brown v. Board of Education, segregation of public schools was declared unconstitutional by the U.S. Supreme court. Circa 1954.

Oliver Brown’s daughter was refused enrollment in the Topeka, Kansas public school district.

So Oliver Brown and other local black residents went to federal court.

The case went all the way to the Supreme Court and the court unanimously declared that segregation in public schools was unconstitutional. I believe most of the justices were white men.

Then came the Civil Rights Act of 1964 and the Voting Rights Act of 1965, which effectively ended Jim Crow Laws.

Had the Browns had a defeatist attitude, like, ‘the courts are full of racist white men so there’s no point going to court’, probably none of that would’ve happened. Race didn’t deter them from seeking justice for their daughter and subsequently other racial minorities.

I’m a believer in ‘there’s no harm in trying’. You don’t just give in easily like that especially if you think you are in the right.

Oppressive laws are unjust laws. Apartheid was unjust. Not all laws are just laws. [Did’nt Nelson Mandela study law so he could fight Apartheid in the courtroom?]

But people fought it on several different fronts, including the courtrooms.

We have courts for a reason. And I’m not being pollyanna to ignore all the challenges we have in our justice system. I’m very ‘woke’ about that.

However, I don’t like giving in too easily just because one feels they are going to lose.

It’s worth a try for Assad to go to court. You say what? No?
 
Back
Top Bottom