Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,593
- 17,550
Una bahati saaana sikujui.Labda nichukue fulsa hii kusema haya ili ubishani au huu ubishi uishe.....mada hii wakati inaanza kama omesoma pale juu mkuu ameanzisha usi unaosema intel waachia processor yenye speed kubwa kwenye soko yenye core 22......lakini mkuu cheaf mkwawa akasema hiyo processor sio kubwa ni ndogo inashindwa na core i7.....hapo ndipo chanzo cha ubishi ulipoanza....mimi nikamuuliza wewe na kampuni ya INTEL nani anajua kuliko mwenzake....haya wadau kosa langu nini hapo au nimeongea kitu gani kibaya?
Nimekufuatilia vizuriii majadiliano yako nkagundua wewe ni punguani wa head