Intel just dropped a 22-core CPU...

Smokey D

JF-Expert Member
Jan 30, 2013
2,631
2,086
Think your eight-core PC is cool? Not anymore. Intel is turning loose a 22-core monster of a CPU, dubbed the Xeon E5-2600 V4.The CPU’s 22 count is made up of Broadwell cores, which when combined with Hyper-Threading, amounts to no fewer than 44 threads in a single-socket computer. On a dual-socket machine, you’re looking at 88 threads in a workstation.

intel-xeon-e5-2600-1-100653486-large.jpg


Source
Eat your heart out, quad-cores, Intel just dropped a 22-core CPU on us. Boom
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
hizo ni za sever zinakuwa hazina ipc kubwa sana compare na na cpu kama i7 6700k hivyo kwenye games au browsing au proffesional apps kama za cad i7 inaipita kirahisi hio cpu na core zake 22.
 
Acha uongo mkubwa....hivi unabishana na wenyewe intel?....wenyewe intel wamesema hii ndo itakuwa kubwa na yenye nguvu wewe bila aibu unasema core 7i itakuwa na nguvu kupita hiyo processor mpya......muda mwingine punguzaga sifa ya kujifanya unajua kila kitu.....
 
Acha uongo mkubwa....hivi unabishana na wenyewe intel?....wenyewe intel wamesema hii ndo itakuwa kubwa na yenye nguvu wewe bila aibu unasema core 7i itakuwa na nguvu kupita hiyo processor mpya......muda mwingine punguzaga sifa ya kujifanya unajua kila kitu.....

kajifunze maana ya single thread perfomance na multi thread perfomance, na kama kitu hujui uliza kwanini inakuwa hivyo na usiclaim vitu usivyyovijua.

1. hio cpu ni ya broadwell aka 5th generation wakati i7 6700k ni skylake aka 6th generation tayari hapo hio i7 ina advantage

2. games na proffesional apps zinategemea sana single thread perfomance na sio wingi wa core. ingekuwa wingi wa core unasaidia kwenye games AMD angekua ndio mwenye cpu kali sababi cpu za amd za bei rahisi kama amd fx8370 zina core 8 compare na cpu kama i7 hio yenye core nne tu(thread 8).

3. i7 6700k unaweza kui overclock kadri utakavyoweza kuipoza na kuipa umeme, wakati xeon zenyewe nyingi hazi overclock na hata kama zinaweza overclock basi hazifiki clock kubwa.

4. skylake inascale vizuri na memory (ram) jinsi unavyoipa ram yenye speed inazidi kuwa na nguvu compare na generation zilizopita

5. pia hizi cpu zina instruction maalum kwa ajili ya mambo mbalimbali, xeon ni kwa ajili ya server/workstation/production kubwa kama animation nk hivyo huwekwa instruction hizo wakati hizi core series ni za watu wa kawaida na pro maofisini nazo huwekwa instruction zake hivyo ni kawaida i7 kuipita xeon.

naomba na wewe uonyeshe
1. huyo mtu wa intel aliosema hio xeon ni best cpu kwa gaming au browsing au Cad

2. utoe maelezo yako ya kitaalam unayoyajua kua hio xeon ni nzuri kwa matumizi yako
 
kajifunze maana ya single thread perfomance na multi thread perfomance, na kama kitu hujui uliza kwanini inakuwa hivyo na usiclaim vitu usivyyovijua.

1. hio cpu ni ya broadwell aka 5th generation wakati i7 6700k ni skylake aka 6th generation tayari hapo hio i7 ina advantage

2. games na proffesional apps zinategemea sana single thread perfomance na sio wingi wa core. ingekuwa wingi wa core unasaidia kwenye games AMD angekua ndio mwenye cpu kali sababi cpu za amd za bei rahisi kama amd fx8370 zina core 8 compare na cpu kama i7 hio yenye core nne tu(thread 8).

3. i7 6700k unaweza kui overclock kadri utakavyoweza kuipoza na kuipa umeme, wakati xeon zenyewe nyingi hazi overclock na hata kama zinaweza overclock basi hazifiki clock kubwa.

4. skylake inascale vizuri na memory (ram) jinsi unavyoipa ram yenye speed inazidi kuwa na nguvu compare na generation zilizopita

5. pia hizi cpu zina instruction maalum kwa ajili ya mambo mbalimbali, xeon ni kwa ajili ya server/workstation/production kubwa kama animation nk hivyo huwekwa instruction hizo wakati hizi core series ni za watu wa kawaida na pro maofisini nazo huwekwa instruction zake hivyo ni kawaida i7 kuipita xeon.

naomba na wewe uonyeshe
1. huyo mtu wa intel aliosema hio xeon ni best cpu kwa gaming au browsing au Cad

2. utoe maelezo yako ya kitaalam unayoyajua kua hio xeon ni nzuri kwa matumizi yako
...kwani wewe na wenyewe intel wanaotengeneza hizi processor nani anajua zaidi?
 
...kwani wewe na wenyewe intel wanaotengeneza hizi processor nani anajua zaidi?
wanajua wao na nina uhakika 100% unawasingizia sababu hawawezi kuongea kuwa xeon ni cpu bora kwenye games.

kama huwasingizii eka link engineer yoyote wa intel akitamka hayo maneno.
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
wanajua wao na nina uhakika 100% unawasingizia sababu hawawezi kuongea kuwa xeon ni cpu bora kwenye games.

kama huwasingizii eka link engineer yoyote wa intel akitamka hayo maneno.
Ndugu yaonyesha mwalimu wako alikuwa na shida sana darasani....umeelewa swali lakini...au umekurupuka kujibu?
 
nimeshalijibu hili swali hebu angalia post yangu ya mwisho
Mkuu acha kujifanya unajua na vi-IT vyako vya kuungaunga....acha ukweli uongee....jibu ni kwamba wewe na kampuni ya INTEL,Intel wanajua kuliko wewe na huna unalolijua dhidi ya kampuni ya INTEL....naomba niishie hapa kwa leo.
 
Mkuu acha kujifanya unajua na vi-IT vyako vya kuungaunga....acha ukweli uongee....jibu ni kwamba wewe na kampuni ya INTEL,Intel wanajua kuliko wewe na huna unalolijua dhidi ya kampuni ya INTEL....naomba niishie hapa kwa leo.
huna hoja sababu umeshindwa kuwaonyesha wana jf mahala popote duniani kuwa intel wamesema xeon zinaipita i7 kwenye gaming/browsing/cad na vitu vyengine vinavyofanywa na mtumiaji wa kawaida.

na hapo umekazania kuwasingizia intel wamesema hivyo.
 
huna hoja sababu umeshindwa kuwaonyesha wana jf mahala popote duniani kuwa intel wamesema xeon zinaipita i7 kwenye gaming/browsing/cad na vitu vyengine vinavyofanywa na mtumiaji wa kawaida.

na hapo umekazania kuwasingizia intel wamesema hivyo.
Unayeonekana huna hoja wewe...unayebishana na kampuni ya INTEL....kikubwa nilichogundua wewe hujui ila unajifanya unajua....unatishatisha watu humu jamii forum ambao hawajui.....huna jipya kaa kimya mkuu linda status yako.
 
huna hoja sababu umeshindwa kuwaonyesha wana jf mahala popote duniani kuwa intel wamesema xeon zinaipita i7 kwenye gaming/browsing/cad na vitu vyengine vinavyofanywa na mtumiaji wa kawaida.

na hapo umekazania kuwasingizia intel wamesema hivyo.
Alafu kuwa na adabu tunapoeleweshana mimi na wewe acha kuwaingiza jamii forum....jamii forum wapo na wanatuona tunavyobishana....umeshindwa kujielezea ubora wako dhidi ya kampuni INTEL unataka huruma ya jamii forum!?!?!....
 
Fact kwa fact jukwaa la tech hili sio porojo MTOTO WA KUKU na we leta huo ushahidi
 
Alafu kuwa na adabu tunapoeleweshana mimi na wewe acha kuwaingiza jamii forum....jamii forum wapo na wanatuona tunavyobishana....umeshindwa kujielezea ubora wako dhidi ya kampuni INTEL unataka huruma ya jamii forum!?!?!....
usiwaingize intel kwenye sintofahamu yako kama kitu hujui usiwasingizie intel. nimekwambia uonyeshe sehemu intel aliotoa claim kuwa xeon ni bora kwa games au kitu chochote nilichosema post ya kwanza umeshindwa kuthibitisha. nimekupa sababu kwanini i7 6700k ni bora kuliko xeon yoyote kwenye matumizi ya kawaida pia umeshindwa kuzipinga hizo sababu, umekazania intel wamesema hivi mara wamesema vile tupe link mkuu na ushahidi kuwa intel kweli wamesema hayo maneno na sio wewe umeyatunga kichwani.
 
Nachoelewa na mimi kwa gaming xeon hazifai ndo mana sijaona mtaalam yoyote wa hizi gaming rigs akishauri mtu aweke processor sa xeon
 
Nachoelewa na mimi kwa gaming xeon hazifai ndo mana sijaona mtaalam yoyote wa hizi gaming rigs akishauri mtu aweke processor sa xeon
Unaelewa tunabishania nini hapa au na wewe ndo wale wale wanaokurupuka?
 
usiwaingize intel kwenye sintofahamu yako kama kitu hujui usiwasingizie intel. nimekwambia uonyeshe sehemu intel aliotoa claim kuwa xeon ni bora kwa games au kitu chochote nilichosema post ya kwanza umeshindwa kuthibitisha. nimekupa sababu kwanini i7 6700k ni bora kuliko xeon yoyote kwenye matumizi ya kawaida pia umeshindwa kuzipinga hizo sababu, umekazania intel wamesema hivi mara wamesema vile tupe link mkuu na ushahidi kuwa intel kweli wamesema hayo maneno na sio wewe umeyatunga kichwani.
Hivi wewe una matatizo ya akili?
 
Back
Top Bottom