mwanaume wa dar anamchamba mwanamke!!Noma sana
Hii kalii dadeq!!...
Ha ha ha ha ha ha haaaaaah!
Contact unazo? uyu chura alimficha wapi miaka yote hii??
Contact unazo? uyu chura alimficha wapi miaka yote hii??
Swahiba, insta ndo wapi? Ninong'oneze wasije wakanisikia wakaniona mshamba bure!tangu lini Ruby akawa na kijungu?
hahaha nipo swahiba wangu...hapa nilipo nilikuwa nataka nipite hapo kijiweni kidogo kusalimia.Swahiba, insta ndo wapi? Ninong'oneze wasije wakanisikia wakaniona mshamba bure!
(umetukimbia kijiweni,tumekuham)