Ingieni live Vijana wanashusha Nondo

Ingieni live Vijana wanashusha Nondo

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,396
Gen Z wapo Live huko mtandaoni wanashusha nondo kupitia Live ya "Nuruvazi" ya instagram ukiingia instagram search "Nuruvazi"

Maandamano kesho yapo kama kawaida

Kumbe alikimbilia Singida baada ya tarehe 29? Singida ndo chimbo na kimbilio la vigogo wa serikali kikiwaka.

Nitakua nawaletea outlines na point zilizoibuliwa kwenye Live
 
Live ya kipumbavu.Mijitu inayosema kesho tutoke ipo Ulaya huko na Marekani .Halafu inatuambia tukusanyikie mnazi mmoja ,?Kariakoo.Yenyewe itaungana nasi kwa ungo au.Pu mbavu .Et "tutoke" wakati wewe upo New York. Ma mae.
 
Live ya kipumbavu.Mijitu inayosema kesho tutoke ipo Ulaya huko na Marekani .Halafu inatuambia tukusanyikie mnazi mmoja ,?Kariakoo.Yenyewe itaungana nasi kwa ungo au.Pu mbavu .Et "tutoke" wakati wewe upo New York. Ma mae.
Wewe coward huna lolote zaidi ya porojo bora ukae kimya....hao unawaowasema hata wangekuwa hapa bongo wako front usingetoka vilevile.....Tundu lissu tu ujawahi kuhudhuria hata mara moja mahakamani.
 
Back
Top Bottom