Ingieni live Vijana wanashusha Nondo

Ingieni live Vijana wanashusha Nondo

Kwani lazima kutoka?Nikiwa University nilikuwa ninakwenda sana Revolution square. Na kunji nilikuwa ninapiga maana yule mwanafunzi Mganda alikuwa mstari wa mbele.Yaani wale wahamasishaji tulipiga kunji nao.Tulitoka nao yaani.Sasa huyu Nuruvaz anasema tutoke yeye yupo nyuma ya Laptop huko German. Ma mama e
Umenikumbusha sana,
Unajua kule rev sq wamepanda maua hadi kule bookshop..
 
Live ya kipumbavu.Mijitu inayosema kesho tutoke ipo Ulaya huko na Marekani .Halafu inatuambia tukusanyikie mnazi mmoja ,?Kariakoo.Yenyewe itaungana nasi kwa ungo au.Pu mbavu .Et "tutoke" wakati wewe upo New York. Ma mae.
Yule malaya Maria ndo anashikia watu akili za taarifa zake za Abunuwasi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
We mzee umejishushia sana heshima, saivi unaonekana takataka tu na hayo maandishi yako
Kaka umeanza kulipwa Toka lini 😀😃

Wakuu ,ukiona ID ambayo ilikuwa inakaza before MO29 then ikaanza kuunga mkono juhudi basi tambua Simu ishachukuliwa na Magaidi wa Abdul na ndiyo wanaiendesha...Kuweni makini ,mkienda PM mnaliwa vichwa.
 
Siku hizi tatu sikuelewi madam au umeanza na wewe kuchukua zile afu saba saba mwanawane😀😃
Hapana.Ninachukia uongozi wa Samia wa kujipa.Ila nilipoanalyse na kuona hatuna uwezo wa kumtoa as far as vyombo vya ulinzi dola vyote vipo nae.Nimeamua kusubiri miaka mitano na kuendelea kupiga kazi .2030 si mbali atasepa.
 
Nasubiri Gen-Inzi Mmoja nimalize kisasi. Ule uporaji waliofanya kwenye biashara ya Anti kariakoo, sintokaa niusahahau. Lazima Nile nyama ya Mtu. Leo tulisubiri kwa hamu. Na hamtaamini mbwa nyie.
 
HATU TAKI MAANDAMANO KESHO TUNAENDELEA NA MAJUKUMU YA KUJENGA NCHI.
 
Nasubiri Gen-Inzi Mmoja nimalize kisasi. Ule uporaji waliofanya kwenye biashara ya Anti kariakoo, sintokaa niusahahau. Lazima Nile nyama ya Mtu. Leo tulisubiri kwa hamu. Na hamtaamini mbwa nyie.
Umelipwa sh ngapi?

Biashara ya anti kariakoo yako iko wapi we mkaa kwa shangazi yako unalala na kunya tu, humiliki chochote zaidi ya mku*** wa kutolea ma** tu.

Polisi walitangaza Lock down siku 5 mfululizo na watu wakawa hawatoki wala hawaingii wao ndo walikua barabarani masaa 24 halaf panaibiwa unalaumu Gen Z
 
Bila ya link inakuwa ngumu hata ukiandika....ukiona watu wanakuambia link badala ya kupoteza muda wewe toa link tu
Tatzo la kutoa link wengine wanahack wanajua IP address za watu, kitu ambacho.sio salama kabisa ndo maana sitoag link kabisa
 
Kaka umeanza kulipwa Toka lini 😀😃
Siku hizi simwelewi huyo dogo. Siku chache zilizopita alikuja na thread ya kusupport press za kipumbavu zinazofanywa na mashehe ubwabwa. Sijui ndio ashaingia kwenye ile payroll ya buku 7 pale lumumba
 
Siku hizi simwelewi huyo dogo. Siku chache zilizopita alikuja na thread ya kusupport press za kipumbavu zinazofanywa na mashehe ubwabwa. Sijui ndio ashaingia kwenye ile payroll ya buku 7 pale lumumba
Itakuwa aisee 😀
 
Back
Top Bottom