Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,001
- 60,071
Kwani lazima kutoka?Nikiwa University nilikuwa ninakwenda sana Revolution square. Na kunji nilikuwa ninapiga maana yule mwanafunzi Mganda alikuwa mstari wa mbele.Yaani wale wahamasishaji tulipiga kunji nao.Tulitoka nao yaani.Sasa huyu Nuruvaz anasema tutoke yeye yupo nyuma ya Laptop huko German. Ma mama eWewe coward huna lolote zaidi ya porojo bora ukae kimya....hao unawaowasema hata wangekuwa hapa bongo wako front usingetoka vilevile.....Tundu lissu tu ujawahi kuhudhuria hata mara moja mahakamani.