nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
Mkuu, sikubaliani na maneno yako hata kidogo. kuhusu arusha, ni ukweli ulio wazi kuwa chadema ndio walihusika kwa kumhonga Insp Daudi
wamuhonge halafu wamrekodi halafu waseme polisi wamehusika!!!!shrikisha ubongo wako na sio ma------,hili la arusha ccm hamtoki kama ishu ya mwangosi,caught with your dirty pants down.