Ingekuwa Tanzania tungeweza?

MotoYaMbongo

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,146
884
Kwanza nawapa pole wakenya kwa yaliyowakuta, Hatimae operesheni imemalizika na magaidi wote wameuawa, hivi ingekuwa ndio magaidi wameteka jengo Tanzania, vyombo vyetu vinauwezo kwa kukabiliana na tukio gumu la kigaidi? Wataalam tujuzeni.
 
Kwanza nawapa pole wakenya kwa yaliyowakuta, Hatimae operesheni imemalizika na magaidi wote wameuawa, hivi ingekuwa ndio magaidi wameteka jengo Tanzania, vyombo vyetu vinauwezo kwa kukabiliana na tukio gumu la kigaidi? Wataalam tujuzeni.
Wewe siunaishi congo kaulize mziki wetu kwa m23 ndipo uje kuuliza swali hili.
 
wamesaidiwa na nchi za kigeni.,tanzania tungelipua jengo zima,serikali hii haijali watu wake,si unaona arusha walivyowalipua kwa bomu raia!!!
 
wamesaidiwa na nchi za kigeni.,tanzania tungelipua jengo zima,serikali hii haijali watu wake,si unaona arusha walivyowalipua kwa bomu raia!!!

Ukweli Tz tungehangaika sana. meli zinazama tu tunaumbuka! hatuna mahusiano mazuri na mataifa yenye nguvu kama Israel. wenzetu wanaona mbali sana, Kama Us, UK, Germany, Japan, Russia, France, na nchi zingine zilizoendelea wanawatumia hawa jamaa sisi tuna ujanja gani? tindikali tu inatushinda.....
 
Kwanza nawapa pole
wakenya kwa yaliyowakuta, Hatimae operesheni imemalizika na magaidi wote
wameuawa, hivi ingekuwa ndio magaidi wameteka jengo Tanzania, vyombo
vyetu vinauwezo kwa kukabiliana na tukio gumu la kigaidi? Wataalam
tujuzeni.

kwanza lazima uadmit kuwa kitendo cha kushambuliwa kenya mara kwa mara na magaidi ni uthibitisho tosha kuwa vyombo vya usalama vya ndani vimeshindwa kukabiliana na matishio hayo. vyombo imara ni vile vinavyodhibiti matukio kabla hayajatokea kama wafanyavyo vyombo vyetu. tuvipongeze sana na tuvipe moyo
 
wamesaidiwa na nchi za
kigeni.,tanzania tungelipua jengo zima,serikali hii haijali watu wake,si
unaona arusha walivyowalipua kwa bomu raia!!!

Mkuu, sikubaliani na maneno yako hata kidogo. kuhusu arusha, ni ukweli ulio wazi kuwa chadema ndio walihusika kwa kumhonga Insp Daudi
 
kuna watu wanatamani sana matukio yanayotokea kenya yatokee Tanzania. inabidi tuwapime kiwango cha uzalendo wao. nakumbuka hata wakati magaidi walivyoripua uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, upuuzi kama huu ulianzishwa na kuna wapuuzi wakashabikia sana eti vyombo vyetu havina uwezo.
 
Ukweli Tz tungehangaika
sana. meli zinazama tu tunaumbuka! hatuna mahusiano mazuri na mataifa
yenye nguvu kama Israel. wenzetu wanaona mbali sana, Kama Us, UK,
Germany, Japan, Russia, France, na nchi zingine zilizoendelea
wanawatumia hawa jamaa sisi tuna ujanja gani? tindikali tu
inatushinda.....

kwanza ukumbuke kuwa hiyo mall iliyoripuliwa inamilikiwa na waisraeli. waisraeli si watu hata kidogo na ni taifa lililolaaniwa na Mungu. ukijenga nao urafiki basi ujue laana ya Mungu itakuwa juu yako kama inavyotokea kenya, marekani na kwingineko? ndo maana Adolf Hitler alikuwa anawasweka kwenye gas chamber na kuwaangamiza
 
Mkuu, sikubaliani na maneno yako hata kidogo. kuhusu arusha, ni ukweli ulio wazi kuwa chadema ndio walihusika kwa kumhonga Insp Daudi

Mshaanza kula maneno yenu ee? kipindi kile si mlikana kuwa polisi hawajahusika? hii habari ya kuhongwa polisi ilikuwa wapi siku zote? na bado mtaumbuka sana!
 
Limetokea kwa jirani yetu nasi twapasa tujiandae maana hatujui kesho na kesho kutwa hali itakuwaje kwa upande wetu. Kama mmefuatilia vizuri habari za Al Shabaab kuanzia tukio hili la westgate liwe gumzo ''wameionya Uganda kuhusu kuvamia Kampala''. Sasa hatuwezi jua siku nyingine itakuwa wapi labda Tanzania.
Chamsingi vyombo vyetu vya usalama vijiandae kuwalinda wananchi wake na wageni bhasi, swala la uwezo hilo naliachia serikali yenyewe
 
Mleta uzi sina uhakika sana na uelewa wako kuhusu maswala ya kiusalama.
Tanzania sio nyepesi kijeshi kama unavyodhani,nikuhakikishie katika ukanda huu wa maziwa makuu Tanzania ipo juu sana.Tanzania isingechukua siku tatu kukabiliana na wajinga kama hawa.Siasa wekeni pembeni jadilini mambo ya msingi ya ulinzi na usalama wa nchi yetu
 
Mleta uzi sina uhakika sana na uelewa wako kuhusu maswala ya kiusalama.
Tanzania sio nyepesi kijeshi kama unavyodhani,nikuhakikishie katika ukanda huu wa maziwa makuu Tanzania ipo juu sana.Tanzania isingechukua siku tatu kukabiliana na wajinga kama hawa.Siasa wekeni pembeni jadilini mambo ya msingi ya ulinzi na usalama wa nchi yetu

naungana na wewe kuwa tanzania kijeshi tuko juu sana katika ukanda huu wa afrika mashariki.
 
Ukweli Tz tungehangaika sana. meli zinazama tu tunaumbuka! hatuna mahusiano mazuri na mataifa yenye nguvu kama Israel. wenzetu wanaona mbali sana, Kama Us, UK, Germany, Japan, Russia, France, na nchi zingine zilizoendelea wanawatumia hawa jamaa sisi tuna ujanja gani? tindikali tu inatushinda.....
Sisi tuko busy na mahusiano na nchi zinazofadhili vitabu vya dini
 
Back
Top Bottom