Uchaguzi 2020 Ingekuwa katika Nchi za wenzetu, Nyalandu na wenzake wangejitoa na kumuachia Lissu

nyalandu He is a spy

nalijua hilo muda mrefu

mwenzangu yeyote aliyesoma chuo cha.... nchini Us Anajua nachoongea
 
Ajabu yenyewe mleta mada siku chache zijazo tutakuona unaponda upande wa pili wamechapisha form moja ya uraisi, wakati kwako unalilia kitu unachopinga upande wa pili kifanyike.

Kuna wakati unajiuliza hivi wafuasi wa CDM wanajua wanapigania nini zaidi ya kuitoa CCM.

Ndio kama siasa za M.E; Saddam hafai, Gaddafi hafai; sasa hivi asilimia kubwa ya wananchi wanajuta kutofikiria nini kifanyike baada ya hao watu kutolewa.

Ukishaanza kusema fulani asiwe na mshindani ina maana wewe mwenyewe uamini democratic values, siku mkishinda uchaguzi god knows yepi mengine mtazuia kama fikra zenyewe ndio hizo.
 
Hatutaki dalili tunataka kuona vitendo
 
 
Wanahubiri DEMOGHASIA
 
Mda wa kujitoa bado,lazima ujue timing,,lisu akifungwa je,inakuaje?
 
Hapa sikubaliani na wewe mkuu!
Ikiwa mnalalamikia m/kiti wa ccm kujiandalia fomu 1 tu kwa kuogopa kushindanishwa na wenzake ndani ya chama na hivyo kukanyaga demokrasia ndani ya chama chake + udikteta. Vipi na ninyi mnatamani kufanya yale yale?
Mnaogopa nini?
Mnahubiri demokrasia gani?

Kama unasema ni nyakati za Lissu, why uogope?
Binafsi najua pia kwamba Lissu ni mtu sahihi kabisa kumkabili JPM na anakubalika na watu wengi si tu Chadema, bali hata huko ccm pia.
Nstumaini atashinda, ila napendekeza ashinde kwa kupigiwa kura. Amini tu kwamba Nyaradu hatotoboa mbele ya Lissu, usitishwe na ushindi wake wa awali mkuu.
 
Mkuu hii ya kufukuzwa ubunge inamuondolea sifa ya kugombea?, Kuna sheria inasema hivyo!?
Hiyo haimuondolei. Ila kuna hii kesi ya Mtuhumiwa wa Uhaini, bado haijathibitika wala hajashunda au kushindwa.
Akishindwa inabidi afungwe itakywaje? Au akishinda ana kuwa huru(jambo jema)

Itakuwa mgombea ni mtuhumiwa wa uhaini. Hapa amepoteza sifa( Mtego huu uliwekwa)
 
What if anapitishwa harafu anawekewa mapingamizi na NEC wanamuondoa kwenye kinyang'anyiro? Maana mda huo hakutakuwa na fursa ya kum replace.Huoni itakuwa ni hasara kubwa mno? Kama akikatwa plan B ikoje?
 
Hivi kwann Chadema hamuwapendi watu Masikini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…