kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Rosemary ama Maryrose!?Lisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.
Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Rosemary ama Maryrose!?Lisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.
Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Anaweza kupata kura za aibu hiyo Jumanne.
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.
Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.
Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.
Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.
Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Hapa ndipo utaona mapungufu yao.Acha demokrasia ifanye kazi yake.
Mbona CCM alipochukua fomu mmoja tu tumepiga kelele sana?
What if waliona anafaa wakamwachia?
Tuache double standard
Kwa hio unashauri Chadema wawe wanachapisha form 1 kama CCM?Lissu angekubalika angekuwa Mwenyekiti
Kwanza kwanini ajitoe?Nchi zingine hununua wagombea pinzani wajitoe mfano Ni hapo Kenya unaletewa mabox ya pesa na mgombea uraisi au mgombea ubunge anasema hi nafasi naitaka chukua haya mabilioni jitoe niachie
Nyalandu Ni mkristo mshika dini hanunuliki .Hizo nchi unazosema za nje ndicho hufanya Watu hawajitoi bila kulamba pesa ya uhakika
Hata ku form alliance Kama ile ya UKAWA pesa ya Lowasa ilibidi imwagwe Hadi kwa akina Lisu Baada ya kuipata wakampisha na kuimba Lowasa mabadiliko , mabadiliko Lowasa!!! Nyalandu hahongeki ana pesa za kufa mtu hizo porojo zako za nchi zingine
I can see the logic ni kama unatuambia Magufuli alihonga ili achukue fomu peke yake.Nchi zingine hununua wagombea pinzani wajitoe mfano Ni hapo Kenya unaletewa mabox ya pesa na mgombea uraisi au mgombea ubunge anasema hi nafasi naitaka chukua haya mabilioni jitoe niachie
Nyalandu Ni mkristo mshika dini hanunuliki .Hizo nchi unazosema za nje ndicho hufanya Watu hawajitoi bila kulamba pesa ya uhakika
Hata ku form alliance Kama ile ya UKAWA pesa ya Lowasa ilibidi imwagwe Hadi kwa akina Lisu Baada ya kuipata wakampisha na kuimba Lowasa mabadiliko , mabadiliko Lowasa!!! Nyalandu hahongeki ana pesa za kufa mtu hizo porojo zako za nchi zingine
Hivi unaelewa maana ya kujitoa?Kujitoa unajitoa law hiari yako na ni kawaida kabisa na.sio kwa kushinikizwa.Hapa sikubaliani na wewe mkuu!
Ikiwa mnalalamikia m/kiti wa ccm kujiandalia fomu 1 tu kwa kuogopa kushindanishwa na wenzake ndani ya chama na hivyo kukanyaga demokrasia ndani ya chama chake + udikteta. Vipi na ninyi mnatamani kufanya yale yale?
Mnaogopa nini?
Mnahubiri demokrasia gani?
Kama unasema ni nyakati za Lissu, why uogope?
Binafsi najua pia kwamba Lissu ni mtu sahihi kabisa kumkabili JPM na anakubalika na watu wengi si tu Chadema, bali hata huko ccm pia.
Nstumaini atashinda, ila napendekeza ashinde kwa kupigiwa kura. Amini tu kwamba Nyaradu hatotoboa mbele ya Lissu, usitishwe na ushindi wake wa awali mkuu.
And so is Magu.. asingezuia Membe kugombea na wasingemfuta uanachamaIngelikuwa ni nchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi
Hayo ya kutaka Nyalandu ajitoeMawazo gani hayo Saint Anne nakuomba nifunue macho.
Hivi nyie Nyalandu mnadhani ni mwenzenu? Nyalandu atarudi CCM muda muafaka ukifika. Mimi naweza nina uwezo mkubwa wa kujua watu wenye dhamira ya nia ya kuwa upinzani na watu walioko huko kimkakakati. Wapinzani kama wanajua kusoma alama za nyakati, mtu sahihi wa kusimamisha kwa sasa ni Membe. Lissu ni mzuri sana, na namkubali sana ila tu kwa kipindi hiki Membe ndiye aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kukubalika na watu wa aina mbalimbali. Lissu anaweza kupata support kubwa lakini watu potential wa kumpigia kura ni vijana na wapinzani wakereketwa. Membe akiungwa mkono na Lissu atavutia wale mashabiki wa Lissu na wengine kutoka CCM na watu wasio na hisia kali za upinzani.Kwenye msafara wa mamba,hata kenge wamo!
Hivi nyie Nyalandu mnadhani ni mwenzenu? Nyalandu atarudi CCM muda muafaka ukifika. Mimi naweza nina uwezo mkubwa wa kujua watu wenye dhamira ya nia ya kuwa upinzani na watu walioko huko kimkakakati. Wapinzani kama wanajua kusoma alama za nyakati, mtu sahihi wa kusimamisha kwa sasa ni Membe. Lissu ni mzuri sana, na namkubali sana ila tu kwa kipindi hiki Membe ndiye aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kukubalika na watu wa aina mbalimbali. Lissu anaweza kupata support kubwa lakini watu potential wa kumpigia kura ni vijana na wapinzani wakereketwa. Membe akiungwa mkono na Lissu atavutia wale mashabiki wa Lissu na wengine kutoka CCM na watu wasio na hisia kali za upinzani.
Of Course wewe utaona ni maajabu kwa sababu unadhani Membe amekuja upinzani kimkakati. Ni kweli asingekuja upinzani kama CCM mambo yangekuwa mazuri lakini hii haimaanishi kaenda huko kufanya hujuma. Najua watanzania ni wagumu sana na wengi hawana uwezo wa kutafakari na kupima mambo kwa kina bali kukariri na ndiyo maana baada ya Lowassa kurudi CCM wameshakaririshwa kuwa alienda huko kuhujumu. Ukweli ni kwamba Lowassa alikwenda upinzani akidhamiria na alikuwa tishio kubwa kwa walifanikiwa ku-kushinda na asingerudi huko kama siyo afya yake kuwa mbaya.'Mimi naweza nina uwezo mkubwa wa kujua watu wenye dhamira ya nia ya kuwa upinzani na watu walioko huko kimkakakati.'
Na hapo hapo unasema tena:
'Wapinzani kama wanajua kusoma alama za nyakati, mtu sahihi wa kusimamisha kwa sasa ni Membe.'
Hakika dunia ina maajabu yake.
Ni mawazo ya hovyo kutaka Nyalandu ajitoe.Sielewi unayaonaje ni mawazo ya hovyo kama wanachama, wapenzi na washabiki wengi wa Chadema wanataka Lissu ndiyo abebe bendera ya Chadema kugombea nafasi ya Urais.
Hivi nyie Nyalandu mnadhani ni mwenzenu? Nyalandu atarudi CCM muda muafaka ukifika. Mimi naweza nina uwezo mkubwa wa kujua watu wenye dhamira ya nia ya kuwa upinzani na watu walioko huko kimkakakati. Wapinzani kama wanajua kusoma alama za nyakati, mtu sahihi wa kusimamisha kwa sasa ni Membe. Lissu ni mzuri sana, na namkubali sana ila tu kwa kipindi hiki Membe ndiye aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kukubalika na watu wa aina mbalimbali. Lissu anaweza kupata support kubwa lakini watu potential wa kumpigia kura ni vijana na wapinzani wakereketwa. Membe akiungwa mkono na Lissu atavutia wale mashabiki wa Lissu na wengine kutoka CCM na watu wasio na hisia kali za upinzani.
'Ni kweli asingekuja upinzani kama CCM mambo yangekuwa mazuri'.Of Course wewe utaona ni maajabu kwa sababu unadhani Membe amekuja upinzani kimkakati. Ni kweli asingekuja upinzani kama CCM mambo yangekuwa mazuri lakini hii haimaanishi kaenda huko kufanya hujuma. Najua watanzania ni wagumu sana na wengi hawana uwezo wa kutafakari na kupima mambo kwa kina bali kukariri na ndiyo maana baada ya Lowassa kurudi CCM wameshakaririshwa kuwa alienda huko kuhujumu. Ukweli ni kwamba Lowassa alikwenda upinzani akidhamiria na alikuwa tishio kubwa kwa walifanikiwa ku-kushinda na asingerudi huko kama siyo afya yake kuwa mbaya.