Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,038
- 948
Lisu hawezi kupitishwa hauzishi hata kidogo ,,nyarandu ndo atapita kwa kishindo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SwadaktaIngelikuwa ni nchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi
Patamu hapoNyarando yule ni kimeo,
Nifafanulie kidogo hapo kiongoziLisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.
Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Nyani aoni kunduleAcha demokrasia ifanye kazi yake.
Mbona CCM alipochukua fomu mmoja tu tumepiga kelele sana?
What if waliona anafaa wakamwachia?
Tuache double standard
Hatutaki dalili tunataka kuona vitendoMembe mwenzake ameshaonyesha dalili za kumuunga mkono Lissu ila yeye kakomaa.
Hii sio soka ambayo umapaswa kukomaa hata kama bao moja unalotafuta katika mechi ya fainali kwenye dakika za majeruhi , haliwezi badili matokeo pale mpinzani wako anapokuwa na anaongoza kwa magoli mengi.
Kumbe mnapenda mambo ya ccm ya fomu moja ya kugombea eeeh
Tuwe makini na maneno yetu tusije jikuta tunasahau tulicho sema jana
Kuingia kwenye ulingo ni ushujaa kujitoa ni kushindwa kabla ya pambano
Hapo neno demokrasia itumike kama ilivyo kwa jina la chama
Wanahubiri DEMOGHASIAMbona mnalazimisha nyalandu ajitoe? Kwa nini msiseme Lisu ndo ajitoe? Kama mnahubiri demokrasia acheni waende mpaka mwisho, atakaeshinda ndio wajumbe watakuwa wamechagua.
Hii ya kusema mara nyalandu ana pesa mara Lisu ni maarufu ni kutaguta kumnyima nyalandu haki yake huko chadema.
Yanapowakuta manaaza kuweweseka, acheni kila mtu apime upepo wake mwenyewe.
nyalandu He is a spy
nalijua hilo muda mrefu
mwenzangu yeyote aliyesoma chuo cha.... nchini Us Anajua nachoongea
Huo ushauri kampe mkeo!Lisu kapoteza sifa so NEC wanamsubiri kwa hamu wamkate bila hata pingamizi.
Chadema tuleteeni Dr Rosemary ........wanawake ni jeshi kubwa!
Mda wa kujitoa bado,lazima ujue timing,,lisu akifungwa je,inakuaje?Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.
Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.
Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.
Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.
Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Ngumu,hata kama kutafanyika mafekecheJe akipita mwingne itakuwaje?
Hiyo haimuondolei. Ila kuna hii kesi ya Mtuhumiwa wa Uhaini, bado haijathibitika wala hajashunda au kushindwa.Mkuu hii ya kufukuzwa ubunge inamuondolea sifa ya kugombea?, Kuna sheria inasema hivyo!?
What if anapitishwa harafu anawekewa mapingamizi na NEC wanamuondoa kwenye kinyang'anyiro? Maana mda huo hakutakuwa na fursa ya kum replace.Huoni itakuwa ni hasara kubwa mno? Kama akikatwa plan B ikoje?Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.
Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini angetangaza kujitoa na kumuunga mkono Lissu bila kusubiri kupigwa kura na wajumbe.
Anyway, wacha tusubiri lakini huku ni kushindwa tu kusoma alama za nyakati kwa kisingizio cha demokrasia, demokrasia ambayo haimpi nafasi yeye na wenzake.
Hata hivyo,hii itakuwa ni fursa ya Lissu kuonyesha kukubalika kwake ndani ya chama kulinganisha na wagombea wenzake.
Wacha tusubiri labda kuna wanaopanga kujitoa siku ya kupiga kura kupitisha mgombea na kumuunga mkono Lissu maana siasa ndio zilivyo.
Naingalikua nyerere yupo hai mpaka Leo asinge ruhusu upumbavu ule ufanyike wa mgombea urais atowe fomu moja tu halafu achukuwe yeye wengine wazuiweIngelikuwa ni nchi za Wenzetu
Mwenyekiti wa Kudumu Chadema Asingeweza Kuzuia wengine Kugombea kiti hicho na kuwa yeye miaka nenda Rudi
Hivi kwann Chadema hamuwapendi watu Masikini?Nchi zingine hununua wagombea pinzani wajitoe mfano Ni hapo Kenya unaletewa mabox ya pesa na mgombea uraisi au mgombea ubunge anasema hi nafasi naitaka chukua haya mabilioni jitoe niachie
Nyalandu Ni mkristo mshika dini hanunuliki .Hizo nchi unazosema za nje ndicho hufanya Watu hawajitoi bila kulamba pesa ya uhakika
Hata ku form alliance Kama ile ya UKAWA pesa ya Lowasa ilibidi imwagwe Hadi kwa akina Lisu Baada ya kuipata wakampisha na kuimba Lowasa mabadiliko , mabadiliko Lowasa!!! Nyalandu hahongeki ana pesa za kufa mtu hizo porojo zako za nchi zingine