Maadam umeafiki kama kutakuwa na madhara ya sabuni mtashirikiana kuyatatua...ni sawa. Ila mazoezi ya kuchosha mwili kila siku...mh labda kama kazi zake ni physical!Hilo la mwanamke wa kumteka moja kwa moja inabidi na wewe uwe mtundu kuhakikisha kuwa hawazii mwingine kabisaaaa...!