JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
I thinks the issue suits either side depending on who owns what, where, how and when.
Hakuna crisis maana viongozi wakuu wapo na wana-manage.
Ungekuwa sahihi kama ungesema baadhi ya viongozi wakuu wapo na wana-manage.
Bwana hajaonekana kwa wiki tatu sasa.
Je, anaumwa, au yu buheri wa afya?
Je, ni lini bwana mkubwa ataonekana tena kwa wananchi wake?