Information Management = better crisis management

I thinks the issue suits either side depending on who owns what, where, how and when.

Hakuna crisis maana viongozi wakuu wapo na wana-manage.

Ungekuwa sahihi kama ungesema baadhi ya viongozi wakuu wapo na wana-manage.

Bwana hajaonekana kwa wiki tatu sasa.

Je, anaumwa, au yu buheri wa afya?

Je, ni lini bwana mkubwa ataonekana tena kwa wananchi wake?
 
Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.

I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it...
Imekwisha enzi, kilichobaki ni kuzukwa kwenye shubaka
 
..ungekuwa sahihi kama ungesema baadhi ya viongozi wakuu wapo na wana-manage.

..bwana hajaonekana kwa wiki tatu sasa.

..Je, anaumwa, au yu buheri wa afya?

..Je, ni lini bwana mkubwa ataonekana tena kwa wananchi wake?
Yule Bwana yupo Mafungo kwenye Centre Moja ya Kanisa hapo Mjini Dar es salaam anajiandaaa na Pasaka.
 
Kuna vitu bado sijavielewa lakini nimevisoma hapa.
-PM alisema nini kikawa tofauti na VP kuhusu Magufuli?
-DW wamesema nini jana?
 
Persecution can only transform a man into a hypocrite; belief is legitimately formed only by discernment of sufficient evidence apart from evidence, a man has no right to control the understanding, he cannot determine arbitrarily what his neighbours must believe.! Let them learn the hard way
 
Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.

I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.

Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.

Crisis iliyopo ni ya kujitakia.

Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.

Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.

Lakini, haikuwa hivyo.

Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.

Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that😉] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.

Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!

Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.

Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?

Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.

Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.

I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.

However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.

They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.

Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?

Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.

Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.

Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.

Hii pia inaepusha aibu mbeleni.

Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.

Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.

Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.

I hope they’re taking notes.
Good riddance!

God is not mocked.

Jiwe alijikuta Mungu kweli
 
Kwa msingi huo, ina maana basi jamaa bado yu hai, siyo?

Manake ingekuwa ni kinyume na hivyo, kwa nini waogope kutangaza?

Ila wanakosea sana.

Imani ya wananchi kwa serikali yao imeshuka sana.
Kuna uwezekano wamepigwa ganzi hawajui wafanye nini.

All signs zinasema huyu mzee hayuko sawa. Ni kwa kiasi gani, hilo inawezekana wanajua watu wachache sana. Unaweza kuta hata PM na VP hawajui, in that environment mnafanya nini? Wanaweza fanya jambo mzee akarudi na hasira zake wakaingia kwenye matatizo makubwa.

Haya manchi ni ya kipumbavu sana, unaweza kukuta hata Cabinet nzima ikawa na sintofahamu kama tulivyo sisi wananchi.
 
Hakuna tatizo lolote na hisia zako si za ukweli.

Wote hao ulowataja wanazo taarifa kamili na zinawafikia kadri hali inavyoruhusu.

Lakini kwanza chukulia taarifa ya kutoka Namibia ndo ilikuwa mwongozo wa taarifa/kauli zilofuata.

Sisi humu JF na mitandaoni hatuna taarifa zozote zenye uhalisia kwa asilimia 100.

Hivyo, tuepuke uzushi na upindishaji habari.
Asante sana...

Zinawafikia toka wapi? Kuhusu nini na kumhusu nani?

Maana Rais Magufuli yuko physically fit na anachapa kazi kamà kawaida. Tunataka atoke aende wapi? Kariakoo? Tandika mabatini?.

Si ndo PM alivyosema mbele yetu sote?

Halafu VP akasemaje?

Mh. Rais anawasalimu, afya yake inaendelea vizuri, tusipotoshwe na habari za mitandao...

Hawa ndiyo viongozi wakuu waliopo na wanaoweza kupewa madaraka ya Urais likitokea la kutokea..

Lakini hapa inaonesha wazi kuwa, hakuna coordination katika utoaji wa information. Na haieleweki nani mwenye mamlaka kutoa CLASSIFIED INFOS za serikali kama hii kuhusu afya na uhai wa Rais..

Pia ni kana kwamba kila mmoja ana source yake tofauti ya taarifa kabla ya kuziachilia kwa umma...

Hili halihitaji shule kubwa kuelewa kuwa, huko serikalini hakuko sasa...!!!
 
Power struggle behind the scene:

1.Perhaps Some want assurance of their well being or amnesty before jumping onboard to offer allegiences

2. Some bank accounts probably have to be emptied/ cleared first before a new regime takes over lest it freeze them.

3. Some files have to be destroyed, or hidden before the new regime comes at the helm (but this is treasonous)

4. Who is to be the VP? - There must be a huge debate from the inner circles

5. How to conduct the ceremony, the logistics, the budget, the choirs, the speeches, the stage and so on

So probably thats why they are taking such a longtime.

But one thing is crystal clear, the more they delay, the worst it becomes, Untrusted they will be!. This shall have the consequence of undermining the crefibility of the Prime Minister and the VP who is supposed to take over
I concur,

If he's gone that could have made things less complicated.

But imagine if he is neither dead nor alive, that would be a nightmare. Mnafanya nini, maana mnaweza mkaanza movement; and he miraculous gets better, hell has no fury like a half dead man who wakes up na kukuta mnagawana "mali" zake. And how long do you wait until you make a call? What do you tell the public, maana Majaliwa ashajiweka upande wa "yuko fiti", Samia kajiweka kwenye "mafua". Someone is bound to be wrong.
 
Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.

I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.

Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.

Crisis iliyopo ni ya kujitakia.

Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.

Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.

Lakini, haikuwa hivyo.

Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.

Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.

Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!

Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.

Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?

Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.

Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.

I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.

However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.

They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.

Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?

Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.

Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.

Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.

Hii pia inaepusha aibu mbeleni.

Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.

Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.

Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.

I hope they’re taking notes.
Kweli kabisa
 
Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.

I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.

Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.

Crisis iliyopo ni ya kujitakia.

Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.

Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.

Lakini, haikuwa hivyo.

Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.

Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that😉] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.

Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!

Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.

Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?

Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.

Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.

I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.

However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.

They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.

Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?

Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.

Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.

Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.

Hii pia inaepusha aibu mbeleni.

Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.

Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.

Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.

I hope they’re taking notes.
Asante sana na iwe shule kwetu sote.
 
Back
Top Bottom