Information Management = better crisis management

Information Management = better crisis management

Hiyo culture sio ya Mtanzania sio tu CCM na chadema hata mitaani kwenye mambo ya kawaida tu.

Kwenye hii agile information age hii mismanagement itaendelea kuyumbisha wengi.
 
Power struggle behind the scene:

1.Perhaps Some want assurance of their well being or amnesty before jumping onboard to offer allegiences...
Umenikosha kwa nadharia zako. Hata mimi naona haya ndiyo mambo yanayoendelea background kama jamaa yuko kwenye hali mbaya kama inavyosemwa.

Hasa hili la vipi litafanya watu watoane ngeu. Lake zone watataka aingie mtu wao. Na ku-complicate mambo zaidi ni kuwa nasikia TISS aliweka watu wake wengi.

Hawa ni lazima hawatakubali kuachia nyama iliyopo mdomoni kirahisi. Kumbuka target yao ilikuwa ''ohoo haya ndiyo maisha. Miaka mitano ndiyo kwanza inaanza.''
 
We still don't have a VP yet (incase the worst has happened)

Probably some people would want assurances of their current positions which the Man himself had deliberately positioned them to safeguard his grip on power!
That’s why it’s good for them to be straight with us.

We are speculating too much.
 
Hii script ilikuwa simple sana:

1. Taarifa kwa umma: Namba 1 anaumwa, hajisikii vizuri kutokana na ziara ya mwezi mzima mfululizo, wananchi mnaombwa mumuombe.

2. Namba 1 kalazwa, wananchi mnaombwa mzidi kumuweka kwenye maombi zaidi na zaidi.

3. Namba 1 amesafirishwa kwenda nje kwa matibabu.

Kwa script kama hii kusingekuwepo na sintofahamu na kujikanganya kama ilivyo sasa.

Na kwa script kama hii hata kama namba 1 angevuta leo hii, ingewezekana ku-buy time even miezi kadhaa mbele kwa kisingizio yuko kwenye matibabu.

Ila sasa kwa kuwa wameshasema ni mzima, inabidi ajitokeze hadharani ili hizi kelele zipungue.

Ova.
 
Ngabu huwa una hoja nzuri sometimes,ukiachana na mambo yako yale ya kumsifia Magufuli.Kinachonishangaza una Lissuphobia.Unataka kutuaminisha kuwa hauoni kabisa mchango wa Lissu katika kuibua mjadala juu ya yuko wapi Magufuli?
Naliona Hilo pia
 
Hii script ilikuwa simple sana:

1. Taarifa kwa umma: Namba 1 anaumwa, hajisikii vizuri kutokana na ziara ya mwezi mzima mfululizo, wananchi mnaombwa mumuombe....
Hapo ndio patamu
 
Umenikosha kwa nadharia zako. Hata mimi naona haya ndiyo mambo yanayoendelea background kama jamaa yuko kwenye hali mbaya kama inavyosemwa. Hasa hili la VP litafanya watu watoane ngeu. Lake zone watataka aingie mtu wao. Na ku-complicate mambo zaidi ni kuwa nasikia TISS aliweka watu wake wengi. Hawa ni lazima hawatakubali kuachia nyama iliyopo mdomoni kirahisi. Kumbuka target yao ilikuwa ''ohoo haya ndiyo maisha. Miaka mitano ndiyo kwanza inaanza.''
Breaking the laws ? is it an order of the day
 
Hiyo tabia CCM wamerithishwa na mwenyekiti wao, amewafanya wawe waoga kuongea chochote mpaka watakapojua muelekeo wake (msimamo) kuhusu suala husika ndio nao wafuate nyuma, matokeo yake kinachotokea sasa hivi mwenyekiti wao yupo kimya, ndio maana na wao wanajikuta wapo kimya...

Chuki binafsi ndo mana hoja zinakosa mshiko.
 
Why crisis management??? Tanzania ina 'Government Continuity Plan' bora kuliko nchi nyingi Africa na hata Middle East! As you said, information lazima ziwe managed, sio kila taarifa inapaswa kuwa broadcasted, na sio kila uvumi wa mitandao (au mainstream media) lazima ujibiwe. For very obvious reasons, wananchi wanapewa taarifa 'on a need to know basis'..Afterall, Ofisi Ya Rais haifanyi kazi na mitandao ya kijamii,
Serious, you can't be serious.
 
Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.

I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it...

Nikuulize mkuu ile issue ya Ujerumani kulazwa alipaswa kuanzisha Serikali. Afu punguza sana haya mambo ya Serikali ya CCM. Imeshachaguliwa Ni Serikali and that means Ni yetu sote. Neno dogo tu Serikali ya CCM unapolitumia katika muktadha huu inakutambulisha aina ya mtu na malengo.

Argument yako itakuwa valid tu kama safari Hii ( tofauti na ile ya Ujerumani) habari unayohisi itakuwa ya Kweli. Lakini kwa siku chache hizi Lengo la Mtoa hizi tetesi(kama za Ujerumani) Ni upendo kwa Taasisi, upendo kwa Katiba au nia zake binafsi?

Consider kuwa habari Hii Ni kama ile ya Ujerumani. Je mtu Makini atajibu. So ndo itakuwa kuendeshwa badala ya kuendesha. Je kulikuwa na ratiba muhimu ambayo Kiongozi alipaswa haifuate haijafuata. Je Kuna sahihi ambayo lazima mkuu wa nchi aipige na haijapigwa? Kuna Nini ambacho so abnormal katika ratiba za Kiongozi zimevunjwa, Ratiba ambazo kwazo urais wa JMT unasimama?

Argument yako inabase katika majungu yasiyo ya lazima. Na katika mlolongo huo huo inakuwa rahisi kwako kusoma between the lines maneno ya hotuba ya makamu na waz.m kadiri ya Hiyo baseless allegations and perceptions.

Je ukikaa kimya na ukavuta Subira utakosa Nini. Nimeona Mara nyingi sana hapa JF watu hawapendi kuwa responsible kwa wanayoandika na kusema. Ya Ujerumani haikuwapa muda na kuwafanya muwe waungwana. Umbeya ndo nguzo ya watanzania Lakini utaskia tunafanya brainstorming. Yes Lakini sio katika maisha na heshima ya mtu.

Hakuna chochote ambacho Rais wa JMT alipaswa kukitimiza mbele ya umati wa watu, na ambacho kwa kutokifanya kwake yeye katika sita na umbo lake, jambo ambalo Kwalo Taifa ( na katiba haliruhusu makamu alifanye) linaathirika. Kwa Hilo Serikali Ina haki ya kukaa kimya.

Pamoja na kwamba unavutika na majungu. Lakini kama habari Hii Ni ya kweli argument yako itakuwa na mashiko. Ingawa swali langu siku Zote nia hasa Ni Nini. Ladha ya majungu au Brainstorming.

Tanzania kwanza. Tuwaheshimu viongozi wetu na nchi yetu. Hakuna mahali utaheshimika kwa kusema ya kwenu. Utaona makofi Lakini ukitoka wanakuona huna thamani.
 
Hey, it’s me, yours truly and back again wit.
....
Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.
...
I hope they’re taking notes.

Nyani Ngabu na uhabarishaji wako kwa njia ya mtandao uwezo wa kupata habari ni finyu sana sana ukilinganisha na Taasisi ya Urais.

Ni Taasisi ambayo inahakikisha usalama wa nchi, raia na mali zai

Ni Taasisi ambayo ndio pekee duniani inayomiliki information kwa 100%.

Hivyo muda si mrefu, utashangaa na kumeza kwa uchungu hayo uliyoandika na mengi yanayozagaa kwenye mitandao ya kijamii
 
Back
Top Bottom